Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,388
- 105,245
Main post ambayo ndio yenye maelezo elekezi kuna mahala pameandikwa kushikiwa bastola?Kwahiyo unakubali kwamba umedandia treni kwa mbele!!
Main post ambayo ndio yenye maelezo elekezi kuna mahala pameandikwa kushikiwa bastola?Kwahiyo unakubali kwamba umedandia treni kwa mbele!!
HapanaMain post ambayo ndio yenye maelezo elekezi kuna mahala pameandikwa kushikiwa bastola?
nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.
kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.
kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.
unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.
wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.
mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
jmn, haya maswali mbona kashayajibunilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.
kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.
kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.
unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.
wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.
mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
Watu kutofautiana, kuna wengne camera ni vitu tofauti, binafsi simu yangu haina picha niliyopiga mwaka huu, mara ya mwisho kujipiga picha nahisi mwaka juzi..nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.
kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.
kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.
unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.
wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.
mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
Mkuu unaitaji ligi....hamia uswazi ushuhudie....tangu kuanzia kwa wiki hii wilaya ya Temeke matukio ni mengi mno....Acha uongo.
Matukio ya wizi yapo siku zote.
Aliyeweka sheria hakua mjinga kama unavyofikiria.Mapungufu ya vyombo vyetu vya ulinzi na kusimamia haki yasikufanye ukaja na mawazo ya aina hiyo.Halafu wakikamatwa na kuuawa Kuna watetezi wa haki za binadamu wanaanza kuleta ujinga
Hali ikiwa hivyo unavyofikiria ata wewe inawezekana ikakukuta ukiwa ni muhanga wa kuuawa bila makosa.Tusipende kuwaza kienyeji sana kwenye mambo yanayohusu uhai wa mtu kwasababu madhara yake ni makubwa kuliko faida.Tuvipe vyombo vyetu uwezo wakufanya kazi kwa weledi tofauti na hapo yoyote yanaweza kumkuta mabaya kwanamna moja au nyingine.Watu kama hawa wakikamatwa ni kuuwawa tu ili wengine kesho wajifunze hatuna muda wa kupoteza nao.. Polisi wakiwakamata ni risasi tu..
Weka Picha ya gari, nyingi kadili uwezavyo zisambazwe kwenye magroup meengi ya whatsap ili taarifa zisambae kwa haraka..
Halafu haya maswali ya msingi mamamake hajibu aisee!ulishawahi poteza funguo au kuazimisha marafiki Mana wameiba wanaisukuma au uliacha wazi milango funguo kwenye usukani
Aisee pole sana usife moyo shirikiana vizuri na ma police wezi watapatikana tu,Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715View attachment 2000213
Toa ujinga wako hapa.Hali ikiwa hivyo unavyofikiria ata wewe inawezekana ikakukuta ukiwa ni muhanga wa kuuawa bila makosa.Tusipende kuwaza kienyeji sana kwenye mambo yanayohusu uhai wa mtu kwasababu madhara yake ni makubwa kuliko faida.Tuvipe vyombo vyetu uwezo wakufanya kazi kwa weledi tofauti na hapo yoyote yanaweza kumkuta mabaya kwanamna moja au nyingine.
Sisi mtaani kwetu ukikamatwa umeiba au kuvamia Nyumba ya mtu tunakukorogea Cement kikombe kimoja unanyweshwa. Unaenda kufia mbele.Kuuawa sio adhabu, kifungo kinacho ambatana na mateso ndio dawa yao
Duh .... Yaani akazane kuandika uzi akilalamika kuibiwa gari halafu useme ni story za kutunga?!hii story mbona kama imekaa "kichaichai"?.
nimejaribu kujiuliza maswali.
kwanini picha ya gari ni moja tu?.
kwanini picha ya gari haina ubora(pixelated image)?.
mleta mada unatuchuliaje?....lengo hasa ni nini?....ku-create attention?....unapata faida gani kwa kufanya hivyo?.
Majambazi wamerudi kwa kasi ya ajabu wanaiba mchana kweupeWamerudi tena majambazii
Hao wezi nahisi wanajua mtu hapo ndani au walishayasoma mazingira kwa muda mrefu.Wameiba na s imu zoooteee picha hii nimeipata kwenye tablet ya mtoto
Gari imeibiwa unapewa kikaratasi kama hichi ovyo kabisa haitoshi kuonesha ushahidi wa kiusalama kama huuNi gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715View attachment 2000213
namsubiria ajibu naona kimya anaza kusema tumtafte hewani kumbe CHAwerHalafu haya maswali ya msingi mamamake hajibu aisee!
Acha kujifanya lijuaji.namsubiria ajibu naona kimya anaza kusema tumtafte hewani kumbe CHAwer