Mkuu unawakilisha kundi kubwa sana la watanzania. You just jump to conclusions without any critical analysis whatsoever.Tubadilike ndugu yangu.
Nilikuwa Dar Es Salaam kwa muda wa week moja, nilikaa Atriums Hotel na nikaibiwa night ya nne, niliibiwa chumbani usiku wa saa 3 wakati nikiwa restaurant nakula hapo hapo hotelini... Niliibiwa digital camera 2, na simu aina ya HTC, na pesa taslim usd 2300.., mbaya zaidi mmiliki wa hotel anaitwa Erik Shingongo alifika hapo hotelin baada ya kupigiwa sim na meneja wake ndugu Sunday nilieripoti wizi huo muda huo huo. Shigongo aliniambia kuwa anawajua wezi nimpe muda wa saa 3 atarudisha vitu vyangu, baada ya masaa 3 kupita alikuja tena akiwa na maaskari 3 toka kituo cha polis kijitonyama na wakanitaka kutoa maelezo., na wakati huo, ikiwa saa 7 usiku shigongo aliniambia kuwa tayari kesha washika wezi wanne ambao ni wafanyakazi wa hotelini hapo HIVYO nitulie nitapata mali zangu.Nimesubiri bila mafanikio, nikapewa maelekezo ya kumwona RCO wa osterbay, kamanda Wambura ambae alitoa maagizo ya kuwepo mkutano kati yangu na shigongo na meneja wake bwana sunday, mkutano ufanyike ofisin kwa rco ili tuweze kukubaliana namna ya kurudisha vitu nilivyoibiwa. Shigongo hakutokea, meneja wake alifika na akiwa amepewa na maagizo na Shigongo kuwa msimamo wa hotel ni kutolipa au kutoa fidia ya aina yeyote, kuwa wao kama hotel wanaona ilikuwa ni kosa langu kwenda hotelin ATRIUMS. na pia alisema hakuna wa kumfanya lolote Tanzania hii hata nikiripoti kwa RPC, RCO akaridhia na akaniambia hana la kufanya na sheria haimpi nafasi ya kumbana shigongo.
hiyo ndo ilikuwa final na kesi ikafungwa, Tanzania ya watanzania raia hana haki, hadi polis wanaubariki wizi na kuutetea, pale ATRIUMS ni kichaka cha kufuga wezi, mwizi namba moja akiwa Erik Shigongo. namba 2 meneja wake na namba 3 team yake ya wafanyakazi, Kuweni makini msiumie kama mimi.
Nilikuwa Dar Es Salaam kwa muda wa week moja, nilikaa Atriums Hotel na nikaibiwa night ya nne, niliibiwa chumbani usiku wa saa 3 wakati nikiwa restaurant nakula hapo hapo hotelini... Niliibiwa digital camera 2, na simu aina ya HTC, na pesa taslim usd 2300.., mbaya zaidi mmiliki wa hotel anaitwa Erik Shingongo alifika hapo hotelin baada ya kupigiwa sim na meneja wake ndugu Sunday nilieripoti wizi huo muda huo huo. Shigongo aliniambia kuwa anawajua wezi nimpe muda wa saa 3 atarudisha vitu vyangu, baada ya masaa 3 kupita alikuja tena akiwa na maaskari 3 toka kituo cha polis kijitonyama na wakanitaka kutoa maelezo., na wakati huo, ikiwa saa 7 usiku shigongo aliniambia kuwa tayari kesha washika wezi wanne ambao ni wafanyakazi wa hotelini hapo HIVYO nitulie nitapata mali zangu.Nimesubiri bila mafanikio, nikapewa maelekezo ya kumwona RCO wa osterbay, kamanda Wambura ambae alitoa maagizo ya kuwepo mkutano kati yangu na shigongo na meneja wake bwana sunday, mkutano ufanyike ofisin kwa rco ili tuweze kukubaliana namna ya kurudisha vitu nilivyoibiwa. Shigongo hakutokea, meneja wake alifika na akiwa amepewa na maagizo na Shigongo kuwa msimamo wa hotel ni kutolipa au kutoa fidia ya aina yeyote, kuwa wao kama hotel wanaona ilikuwa ni kosa langu kwenda hotelin ATRIUMS. na pia alisema hakuna wa kumfanya lolote Tanzania hii hata nikiripoti kwa RPC, RCO akaridhia na akaniambia hana la kufanya na sheria haimpi nafasi ya kumbana shigongo.
hiyo ndo ilikuwa final na kesi ikafungwa, Tanzania ya watanzania raia hana haki, hadi polis wanaubariki wizi na kuutetea, pale ATRIUMS ni kichaka cha kufuga wezi, mwizi namba moja akiwa Erik Shigongo. namba 2 meneja wake na namba 3 team yake ya wafanyakazi, Kuweni makini msiumie kama mimi.
Kuna vitu huyu jamaa hasemi, naamini hoteli hiyo ni standard hotel, kuna maelekezo juu ya ku declare valuables na naamini vyumba vina safe deposits na kama havina, kuna tangazo reception kuhusu pesa ndio maana mmiliki kamtoleo nje na kama haya ni kweli, nenda popote, imekula kwako!. Pole zake kuibiwa!.
,
we nae mtu unaskia ana street university nawewe unaenda kulala kwake na mali?lazima wakufanyie praktiz
Shigongo kasahau alivyokuwa anauza kabumba pale makoroboi Mwanza,kisa hivyo vijisenti,pia kwa kufanya alivyofanya anaiharibia soko hoteli yake,kwani kwa uwezo alionao angeweza kumlipa huyo mteja wake ili asiharibie jina la hotel yake,mi nilifikiri jamaa kaelimika na anajua misingi ya biashara kumbe buure kabsa,kumpata mteja ni rahisi lakini kumrudisha tena ni kazi kubwaWe inaelekea huwa hulali hotelini so hujui haya mambo. Chumba kinatakiwa kiwe na sehemu maalum ya kutunzia vitu vya thamani, yaani kasafe fulani hivi. Kukabidhi mapokezi ni hotel za uswahilini, pale Atriums ni buku 70 halafu ni jirani sana na kona bar kama jamaa aliingia na MDUDU wanaweza kuwa wamem ADAM MALIMA. Shigogo my brother, its too LOW to pretend you are above the Law while you belong in group of very corrupt individuals in the country. Kumbuka ulikotoka Erick, umewadhalilisha sana akina dada katika magazeti yako ili uuze na umetajirika, nchi za watu ungefilisiwa. Watendee haki washkaji zako kina Ridhiwani wasilazimike kupindisha sheria kattika vitu vidogo kama hii ishu.
ataachaje pesa reception wakati yeye anakula kuklekule hotelini kwenye restaurant ya hotel hajatoka nje, usimtetee huyu mlokole feki anatumia jina la Mungu kuficha maovu yake.
Pole sana kwa kuibiwa ki-malima malima ndugu yangu, and I can understand your frustration kwa tukio hili.
Sakata zima linaonyesha kuwa wizi ulikuwa an inside job, na wafanyakazi wanahusika, wangefahamuje kuwa kuna vita vya gharama na kuvitoa Kama si watu wandani ya hiyo Atrium Hotel.
Asante kwa kutujulisha Hilo kwani I have always suspected kuwa huyo Shigongo is a shady character na tabia aliyoionyesha ina confirm kuwa integrity Yake ni questionable.
Nilikuwa na wageni toka nje, na nitawa caution kwa hili sakata ki alitoa aibu.
Watanzania tunajaribu kuinuana lakini katika kibiana, Shigongo hapa lazima awekwe kwenye net kuwa Atriums ni pango la wezi.