Nimegunduwaa..!!

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
474
188
1. Nimegundua waschana wengi siku hizi hawavai ch***p.
2. imegundua vjana wengi wa mjini wako CDM.
Je, wewe umegundua nini???
 
Asilimia kubwa ya wasichana wanaoenda coco beach na club kama maisha,bills na masai ni machangudoa!!
 
Nimegundua kuwa binadamu wengi hawana upendo wa kweli

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Aaah!!!nimegundua kati ya wakazi 1000 wa Tunduma ni 100 tu ndio wanazitambua fedha za kitanzania coz wao hutumia zaidi zile za Zambia
 
Aaaah ndio maaaana!! Nimegundua wana Jf hawataki zawadi nlioitoa leo kwenye Thred ya Katuduchu, yenye topic ya Hooodi! Kudadadeki Zenu! H o v y o !! Vione. Mnsshhhiii/:!?";">.
 
Nimegundua kuwa mikopo uliyonayo inazidi thamani ya aseti zako
 
Yaani wewe unajiunga leo na kuanza kututukana?
Aaaah ndio maaaana!! Nimegundua wana Jf hawataki zawadi nlioitoa leo kwenye Thred ya Katuduchu, yenye topic ya Hooodi! Kudadadeki Zenu! H o v y o !! Vione. Mnsshhhiii/:!?";">.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom