Nimegunduwaa..!!

Nimegunduwaa..!!

nimegundua watu wengi hawajui wakifa wanaenda wapi.
 
Nimegundua kutoa like ni uvivu wa ku-comment!
 
Nimegundua kila kukicha maisha yanakuwa magumu, yaani ukilemaa leo kesho utalemewa zaidi.
 
Nimegundua akuchukiae bila sababu umemzidi
 
wewe mgeni vipi? umetokea u-turn nini? maana kule ndo kuna magwiji wa matusi, yaani wamesomea kabisa. kuwa mstaarabu bana .... huoni hii forum imekaa kistaarabu ishiii!
 
nimegundua hazina iliyofichika chini ya kitovu
 
nimegundua kuwa hakuna kujamba,ila waweza kunya mavi magumu,uharo na kunya gesi
 
nimegundua zamani ukitaka kuona makalio ya mwanamke ni lazima afunue chupi yake lakini siku hizi anafunua makalio ndio uone chupi

Duuuu, hii kali! Mambo ya bikini hayo!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
nimegundua siku hizi nikipiga goli tatu tu sina hamu tena
 
nimegundua vijana wengi sasa hawataki wapenz/wake ila wanataka mtoto tu
 
wewe mgeni vipi? umetokea u-turn nini? maana kule ndo kuna magwiji wa matusi, yaani wamesomea kabisa. kuwa mstaarabu bana .... huoni hii forum imekaa kistaarabu ishiii!
Ndicho ulichogundua??
 
Nimegundua binzari ni KIUNGO lakini haisajiliwi na timu yoyote!
 
Back
Top Bottom