Nimegunduwaa..!!

Nimegunduwaa..!!

Nimegundua katibu wetu anawatoto wakubwa
 
Siyo
"Nimegunduwa"
Ilitakiwa uandike "NIMEGUNDUA"

Near by Sangu high school Mbeya.
 
Nimegundua members wa Jf wanapendana kwa upendo thabiti pamoja na kutofautiana kiitikadi.
 
Nimegundua hakuna shujaa alie hai ndio maana siku ya mashujaa huwa tunaoneshwa makaburi!
 
Nimegundua kucheka, kulia na kuimba ni sawa..
 
Back
Top Bottom