Nimegunduwaa..!!

Nimegunduwaa..!!

Ndo maana mi cpendi kugundua kama ugunduzi wenyewe wa kibongo ndo wa style hii
 
Nimegundua mtu akikata gogo(ak***ny) polini lazima ageuke kuangalia mzigo wake alioshusha.
 
nimegundua mume mtarajiwa na mwanajf bt ye hajanigundua. . .
 
Nimegundua NO MAN IS HERO TO HIS WIFE
 
Nimegundua watoto wote wanajua ukiwa mkubwa lazima utakuwa na pesa
 
Nimegundua majina ya watu wengi kwenye JF hayakuwezeshi kujua jinsia zao.
 
Nimegundua serikali ya CCM wakiona hawezi kesi wanatumia 'delay tactic.'
 
Back
Top Bottom