Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Muziki anaowapelekesha Magufuli hakika mtaomba pooooo. Hadi 2020 Ilani yote ya CCM itakuwa imetekelezwa. Tunaahidi na tunatenda



MAGUFULI ana Ilani 2.

Moja: ile ya Chama.
Mbili: ile yake mwenyewe.


Ya kwenye chama.... Inamtaka ahakikishe Maendeleo ya kijamii yanafanyika katika kipindi chake.

Ile yake mwenyewe... Inamtaka ahakikishe ana suppress haki za kikatiba za watanzania kwa lengo la kuwatengenezea hofu na vitisho. Kuhakikisha anatimiza masuala ambayo ni rahisi kuyatamka kama mafanikio yake kipindi cha uchaguzi ujao kama vile kununua Ndege na kusahau kupeleka Maji vijijini + kuboresha mikopo ya elimu ya Juu.

Yuko vizuri kwa kweli kwenye kutrkeleza Ilani yake!
 
Hata Kafulila wakati anahama CHADEMA mwaka 2009 alikuwa na tambo nyingi. Leo huyooo karejea. By the way who are you? Unaweza kunieleza ni mijadala gani umeanzisha humu kuisupport CCM?
Hata wewe utaichukia tu ngoja wakukatie hiyo " life line" unayoitegemea
 
nawe msalimie sana huyo Mungu wenu, anayetaka kusujudiwa na kila mtanzania! wengine si wa kuburuzwa buruzwa
. Sikushangai, hata Yesu mmempachika uungu asio nao.

Upunguani tu huo si zaidi.
 
. Sikushangai, hata Yesu mmempachika uungu asio nao.

Upunguani tu huo si zaidi.
endelea kuridhika na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa kujieleza, wengine sio makondoo wa kukubali ujima wa aina hii
 
lazima uwe na mashaka kwasababu watu ambao wamekomaa kisiasa huwa hawatapi tapi hovyo!!!!
Inategemea mkuu, mtu kiwango chake cha aibu kikifikia point flan kiasi kwamba yeye mwenyewe anajionea aibu hapo lazima abreakout.
 
sijawahi kuisupport CCM, siisaport CCM na sitakaa nikaisupport CCM, nonsense!
 
Ccm ni chama kutoka kwa mungu.watu wengi humwaasi mungu lkn akichoka huko hurudi kwa baba na mama yake kama mwana mpotevu tutakupokea ucijali.na itakuwa shangwe na vigelegele kama wafanyavyo malaika huko mbinguni mtu anapokuwa ameo okoka.
 
endelea kuridhika na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa kujieleza, wengine sio makondoo wa kukubali ujima wa aina hii


Hakuna kilichominywa, mashtaka yako wazi kabisa na kama unaongelea Melo basi amepewa haki ya kujitetea mahakamani.

Au mahakama hizo hamziamini mpaka pale anaposhinda Lissu na Bulaya?
 
Hakuna kilichominywa, mashtaka yako wazi kabisa na kama unaongelea Melo basi amepewa haki ya kujitetea mahakamani.

Au mahakama hizo hamziamini mpaka pale anaposhinda Lissu na Bulaya?
cbd4dc4c59d85b11078ee4624f5f0155.jpg

 
Hakuna kilichominywa, mashtaka yako wazi kabisa na kama unaongelea Melo basi amepewa haki ya kujitetea mahakamani.

Au mahakama hizo hamziamini mpaka pale anaposhinda Lissu na Bulaya?
endelea kushabikia ujima! werevu tumejiweka kando!
 
Chadema wao wanashangilia tu.

Maana ndio kazi inayowapeleka huko ulaya kuichafua nchi kwa gharama yoyote.
 
Back
Top Bottom