Allineando
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,064
- 1,124
Bravo 


Alikuwa anatania watani zake WazaramoHayo ndiyo maajabu makubwa ya serikali ya awamu ya 5!
Tulimsikia wenyewe Mkulu Jana akitueleza kuwa amemtuma Kinana kwenda India kwa matibabu!
Hivi kumbe mtu haendi hospitali kwa kuumwa Bali kwa kutumwa na Bosi wake!?
Hayo maajabu yanapatikana TZ pekee!