Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Hivi si umesikia hivi jana kafulila katoka nccr kaenda chadema? Hayo ni mambo ya kawaida katika siasa za bongo! Kila mtu anayohaki ya kutoka ama kubaki! Lakini haimaanishi kwamba ukitoka kila kilichokufanya utoke ni sahihi!
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Ulipojiunga CCM mbona hukututangazia?
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Siamini mpaka niwasikie na akina jingala na Lizabo
 
Muziki anaowapelekesha Magufuli hakika mtaomba pooooo. Hadi 2020 Ilani yote ya CCM itakuwa imetekelezwa. Tunaahidi na tunatenda
Ujinga mzigo, hivi wanaopelekeshwa wanaangaliwa kadi zao za uanachama ? Au itikadi zao?
 
Katoka Lowassa, Kingunge, Sumaye, Mahanga, Lembeli na yule demu wake Halima Mdee CCM ikadunda, itakuwa wewe mwenzangu na mie?

Unanchekesha.
 
Naona kale kaubeti ka acha waisome namba kanafanya kazi
 
Katoka Lowassa, Kingunge, Sumaye, Mahanga, Lembeli na yule demu wake Halima Mdee CCM ikadunda, itakuwa wewe mwenzangu na mie?

Unanchekesha.
I am sorry, siwezi kuendelea kuwa sehemu ya tabaka kandamizi! si katika mafunzo ya dini yangu
 
I am sorry, siwezi kuendelea kuwa sehemu ya tabaka kandamizi! si katika mafunzo ya dini yangu

Tusalimie huko uendako.

Mliozowea vya kunyonga mtapukutika mmoja mmoja.

Hatukumshangaa Kingunge tutakushangaa wewe?

Huwashi huzimi.
 
Tusalimie huko uendako.

Mliozowea vya kunyonga mtapukutika mmoja mmoja.

Hatukumshangaa Kingunge tutakushangaa wewe?

Huwashi huzimi.
nawe msalimie sana huyo Mungu wenu, anayetaka kusujudiwa na kila mtanzania! wengine si wa kuburuzwa buruzwa
 
Back
Top Bottom