Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Wakuu wa mikoa 10 wametoka sehemu moja hatari sana
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.

Bora uondoke na kutuachia chama chetu maana kwa sasa wapenda maslahi hamtakiwi tena kwenye chama. Nakushauri uende chadema uungane na wenzio waliotangulia huko ndiko maslahi yamebaki. Wanachama zaidi ya 150,000 waliokuwa wanachadema huko Monduli wao wameamia CCM wakati wa ziara ya Mh waziri mkuu Arusha.
 
zamani mtu akijitoa ccm jamii yote inashituka na kujiuriza imekuwaje kwa ushauri mjomba acha kutafuta kiki kila zima
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Umeulizwaa ? Kwani ulipo jiunga ulituambia ?
 
Wee jinamizi,oil chafu na makapi ulichelewa sana kujiondoa maana nyie ndio wasala tonge msiotakiwa ktk chama hiki,wafuate makabachori wenzio huko Sacoss ya Ufipa ukaongozwe na vipofu wenzio wasioona hata moja zaidi ya maslahi,wahwahi kwa majizi wenzio huku kwa JPM sio sehem yakupigia dili tena maana utakufa njaa
 
Wee jinamizi,oil chafu na makapi ulichelewa sana kujiondoa maana nyie ndio wasala tonge msiotakiwa ktk chama hiki,wafuate makabachori wenzio huko Sacoss ya Ufipa ukaongozwe na vipofu wenzio wasioona hata moja zaidi ya maslahi,wahwahi kwa majizi wenzio huku kwa JPM sio sehem yakupigia dili tena maana utakufa njaa
umepanic vibaya sana, baki na lichama lenu wasukuma
 
Hiv watu wengine akili zao huwa zikoje?, siku hz Mara nimeamua kurudisha kadi ya sijui CCM, CUF,CHADEMA, ACT, NCCR nk mbona wakati mnachukua kadi hizo hamkututarifu ?, sasa kama umerudisha kadi ya chama ulichokiamin cc watanzania tusiojihusisha na siasa uchwara zenu hizo tufanyeje? Tumechoshwa na hizo habari zenu. Sisi wengine tumejikita kuongeza kupambana kuongeza kipato cha familia zetu na taifa kwa ujumla na sio kufuatilia watu kama ninyi eti Leo umerudisha kadi Mara kesho umechukua kadi.
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
CCM watatambua kama umetoka? Au hata hawakufahamu?
 
U better go kabisa...hatutak mambruki ndani ya ccm, kuondoka kwako wala hukuwezi nyumbisha jambo lolote...maana hata bwana yule alivyoondoka wengi walifikir ccm itakufa...but ndyo kwanza mpya kabisa. Kila la heri mkuu z door is open
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.

Naomba kadi yake uiDHL wasije wakakuSAANANE
 
Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
Sasa umekua.
 
Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;

i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa

ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).

iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini

iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na

v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Pole upiganaji wako ndio uliotupeleka huku shimoni kwenye giza!! una mpango gani wa kututoa nje mwangani?
 
Back
Top Bottom