Melelani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 543
- 534
Siyo Tabora tu haya mambo yapo karibia miji yote hapa TZPale wenyeji walipo jiona wanaweza na wakapandisha bei ya nyumba katikati ya mji kila walipotaka kuvuliwa.
Wageni walipo ona ujunga wakaanza kujenga nje ya mji kama Ipuli, Uledi, Maili 5, Cheyo, K/Koo, Kipalapala, Itaga na kadhalika.... huko wageni wamepajenga na wakafungua biashara nyingi na wanapiga noti tu.