Ona huyu falaaa.Kiufupi akili huna ila unajikutaga unazo mbele ya wapumbavu wenzako.
Morogoro Ina umeme wa grid miaka Mingi Tabora hakuna.Viwanda vya Tumbaku vya Morogoro maligjafi Inatoka Tabora na Mpanda ,kiwanda kilijengwa Moro Kwa sababu kukikuwa na umeme wakati huo Tabora na Mpanda hakuna umeme.
Nimekutajia Barabara za lami zimekuwepo Morogoro na Dar na Moto na Dom,Moro na Arusha,Moro-Mbeya miaka Mingi sana wakati huo sio Dodoma Wala Tabora Ina lami.
Yet ulivyo na bichwa gumu ulitegemea Growth rates ya Miji ilingane?
Aliyekudanganya kwamba Kuna Mkoa hauna fursa nyingi hapa Tanzania ni nani? Kama Tabora Haina fursa Kwa nini Ina attract watu wengi kuhamia na kuzaliana Kwa Kasi?
Unazungumza masoko wapi ambako masoko hayajengwi? Na in fact Kwa Dom Kwa mfano Kunajemgwa masoko mengi kuliko Morogoro.
Tabora penyewe Serikali inatarajia kuanzia ujenzi wa soko na stendi.kubwa mwaka huu ,yote hii ni kutokana na mahitaji Kwa sababu Mji unakua.
Kuwa na akili usiwe punguani wa kukariri mambo na kutojua uhalisia na historia.
KUtaja fursa za Moro kwani ndio inamaanisha mikoa mengine haina fursa???
HIyo Dodoma ni kwasababu ni mji wa kiserikali ndio maana unaendelezwa ila muulize mtu wa kibaigwa kati ya Mkundi na Kibaigwa wapi kuna fursa kuzidi?
HUjaambiwa kama Tabora hakuna fursa bali Tabora kuna potential finyu.
Maendeleo ya raia mmoja mmoja Morogoro ni mepesi kuliko Tabora.
Ndio maana miji yao hutanuka haraka.
Chanzo sio umeme peke yake au hizo barabara.
Embu fuatilia vijiji vya ndani kama Matombo,Mkuyuni,Kisaki,Mvuha hivyo ni vijiji vya ndani sana ila kulingana na huko kuna shughuli za kiuchumi na fursa nyepesi kumejengeka nyumba sawa na za Ipuli mjini.
Bimaana maendeleo yanaanza na wewe kabla ya serikali haijaja kukuwekea miundombinu wezeshi ya wewe kuendelea kusalia pale.
AU unataka kusema hadi nyumba za kulala WANAJENGA SERIKALI????
NAONGEA NA JITU SENGE HATA HALIELEWI.
BAKI NA UFALA WAKO