Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,412
Mkuu acha kufananisha Samsung na vitu vya ajabu. Hivi uko serious kweli? Kwanza inatia mashaka mtu kuhama tecno hadi flagship ya Samsung. Siku nyingne ukitaka kununua kitu km huna uzoefu omba msaada kwa wazoefu. Hapa natype na Samsung ya 4 kumiliki na sioni pa kwenda.
Kitu Super Amoled+ display, acha masihara mkuu ila nlikuwa nachomekea tu.
Kitu Super Amoled+ display, acha masihara mkuu ila nlikuwa nachomekea tu.