Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Mkuu acha kufananisha Samsung na vitu vya ajabu. Hivi uko serious kweli? Kwanza inatia mashaka mtu kuhama tecno hadi flagship ya Samsung. Siku nyingne ukitaka kununua kitu km huna uzoefu omba msaada kwa wazoefu. Hapa natype na Samsung ya 4 kumiliki na sioni pa kwenda.
Kitu Super Amoled+ display, acha masihara mkuu ila nlikuwa nachomekea tu.
 
Mkuu acha kufananisha Samsung na vitu vya ajabu. Hivi uko serious kweli? Kwanza inatia mashaka mtu kuhama tecno hadi flagship ya Samsung. Siku nyingne ukitaka kununua kitu km huna uzoefu omba msaada kwa wazoefu. Hapa natype na Samsung ya 4 kumiliki na sioni pa kwenda.
Kitu Super Amoled+ display, acha masihara mkuu ila nlikuwa nachomekea tu.
Samsung ipi unaikubali zaidi?
 
Kioo cha S9+ bila bdoy yake ndio 350k
Ambacho hakiwezi ku fit in vizuri kwenye body.
Kioo chenye mother body yake 450k ambacho unaamisha tuu.
Pole sana Samsung ni kioo
 
Kama mtu ulikua unatumia tecno na infinix kisha ukahamia kwenye simu za samsung huwezi rudi nyuma tena, labda kama uchumi umekaa vibaya kidogo. Waliowahi kutumia hizi simu zote watakua wmenielewa.
Muhimu ni utunzaji ila samsung ni bab kubwa.
Ninatumia Samsung J5 tangia 2018....chuma ipo imara, haijawahi kuniangusha....ni mwendo wa kununua earphone endapo wakiziiba.
 
Mnaonunua simu kariakoo, makumbusho mnaambiwa mpya wengi mnapigwa.

Sio kwamba ni feki bali zinajulikana kama refurbs.

Yaani simu original zilizokua na matatizo mbalimbali zikatengenezwa kwa kubadilishwa parts zenye shida.

Refurbs hazina ubaya ila tatizo ni kwamba refurbs zote au asilimia 99 zinatoka china.

Mchina anakusanya simu zilizoharibika ana repair na parts za hovyo, kuanzia vioo, camera, battery, na component nyinginezo lengo ni kutumia gharama ndogo kadri awezavyo kisha zinakuwa packed kwenye mabox yake pamoja na chargers, earphone manual, full sealed ukiikuta kariakoo unaambiwa mpya.

Ukitaka samsung, mpya isiyo na longolongo nenda kwa samsung stores au authorised dealers wale wanazo brand new, ila tu bei zimesimamia ukucha inabidi uvumilie kwenye bei.

Chukua hii.
 
Samsung ipi unaikubali zaidi?
Nazikubali nyingi mkuu ila tatizo ni uchumi wangu tu hautoshi, saiv natumia A50 nlichukua kwa 600k coz hizo za milioni mbili simudu. Ila ukitaka simu angalau nzuri isiwe chini ya laki 5. Samsung za chini ya laki 4 zimevamiwa na mchina.
 
Nazikubali nyingi mkuu ila tatizo ni uchumi wangu tu hautoshi, saiv natumia A50 nlichukua kwa 600k coz hizo za milioni mbili simudu. Ila ukitaka simu angalau nzuri isiwe chini ya laki 5. Samsung za chini ya laki 4 zimevamiwa na mchina.
ya million 2 ina maajabu gani?
 
Mimi najichanga nikanunue mate 40 pro, Samsung ndo wamenifikisha hapa saiv natumia tecno, sitaki tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom