Mimi nimesomeshwa hilo, yaani kila teacher wa lugha niliyokutana nao ktk kipengele cha poems basi hapo ndo Kimbilio. Mengine ni:
A freedom song
Development n.k
Miaka zaidi ya 15 baadae, watoto wangu nao habari ndo hiyo hiyo; eat more, the slogan say!
Hv watunzi wameishaaa au? Wataalamu wa elimu nisaidieni!
A freedom song
Development n.k
Miaka zaidi ya 15 baadae, watoto wangu nao habari ndo hiyo hiyo; eat more, the slogan say!
Hv watunzi wameishaaa au? Wataalamu wa elimu nisaidieni!