Nimechoka kufanyishwa mapenzi

Nimechoka kufanyishwa mapenzi

Mshana jr na jopo lako hapa mnahusika kutatua mgogoro huu
 
naota na saga mkuu halaf nikimaliza napewa zawadi.....napikiwa msosi mzuriii nakula nikimaliza narud duniani
Eeee angalia asije kukutia mimba ukamzaa jini baadae akakuletea majanga olewa ndio dawa mkuu
 
Nilikwambia mkuu hjaolewa unhekuwa umeolewa huwezi ota ndoto hizo
 
Una mpenzi kiuhalisia? una muda gani huja-do? Una umri gani? Kuna uhusiano mkubwa kati ya umri wako, kutoku-do muda mrefu na hizo ndoto.

Kutoka mtandaoni..

The female wet dream has been seldom studied because it’s difficult to identify, since women’s organs are on the inside. Men, on the other hand, possess “ejaculatory evidence” when they have a wet dream, whereas vaginal secretions in women could be a sign of sexual arousal without orgasm.

A study published in the Journal of Sex Research found that 85 percent of women had experienced nocturnal orgasms by the age of 21, while some before they turned 13. A female nocturnal orgasm occurs only when sexual arousal during sleep awakens the sleeper to perceive the orgasm. Women who do have these orgasms during sleep are susceptible to having them several times a year.

Girls and women who don’t know whether or not they’ve had orgasms in their sleep are not alone. Lifetime’s YouTube channel’s installment of Street Doctors “Do Women Have Wet Dreams” found most women were not sure about the existence of a sleep-gasm. Dr. Ross I. Donaldson says in the video, "It's normal for both sexes to have dreams of an erotic nature, and frequently that does lead to orgasm or ejaculation. ... But it's totally natural."
 
Ni vyema ukamuomba Mungu maana kila ndoto inatafsiri yake. Na inabidi ubadilishe life style unayoishi kama ni ya starehe au kutumuomba Mungu. Ndoto ni milango ya kiroho hivyo inabidi ujifunze namna ya kushinda hizo nguvu za giza maana kila mtu hujaribiwa kwa kadri ya tamaa yake mwenyewe so tumia damu ya Yesu ikukomboe katika nguvu za giza. Pata nafasi nenda facebook page ya christopher & diana mwakasege kuna somo la ndoto na nini cha kufanya. Liko 1-8 n seriesvpost ambazo anapost sasa kaelezea vizuri kabisa nini cha kufanya. Pia kabla hujalala weka mikono yako kitanda umuombe Mungu akulinde ktk ndoto. Zaid 0655925993 whatsapp
Asante mkuu ntakutext watsap
 
Ukiota unasex na mtu humfahamu mambo kadhaa yanahusika hapo

Mosi, pengine unawazia kukutana/kufahamiana na mtu mpya katika mazigira mapya lakini unashindwa kufanikisha hili sasa ubongo wako unajaribu kufanikisha hili tukio katika namna ya ndoto.

Pia inawezekana wewe unapenda/unatamani kitu fulani katika maisha yako lakini kwasababu upo protective sana na maisha yako unashindwa kufanikisha. Hapo mwili wako unajaribu kufanikisha hili kwa njia ya ndoto

Kumbuka

Kila kitu au watu (characters)unaowaona kwenye ndoto yako ni namna ubongo wako unajaribu kukujulisha part of your own personality.
Well Said, Bravooooo.
 
Kama ni muislam..hakikisha unafanya haya kabla ya kulala
1. Weka udhu kama unaenda kusali
2. Soma suratul nnas,falaq na ikhlas mara Tatu Tatu
3.Soma ayatul qursiy

Utalala usingizi nyororo,sio jini wala sheitwan litakalokugusa usiku.

Kama mkristo,,,ngja tusubiri watumishi Wa bwana watakuelekeza!
ustadhaat umetoa mubashara !!!
barakaAllahufik
 
Habarini ndugu zangu natumaini ni wazima,

Nina muda mrefu tangu nianze kuota nafanya mapenzi usiku mpaka naandika uzi huu ni kutokana na jinsi jana nilipoota nafanya mapenzi na mwanamama aliekua amevalia nguo nyeusi kwa kweli nilienjoy kabisa kama nafanya mapenzi live.

Ndugu zangu nifanyeje niache kuota hivi ukizingatia mimi ni mwanamke halafu naota nafanya na wanawake wenzangu.
Ni psychological problem, unaweza kujicondition usiote. Hauhitaji kupanic
 
Back
Top Bottom