Nimependa uchangiaji wakoKama ni muislam..hakikisha unafanya haya kabla ya kulala
1. Weka udhu kama unaenda kusali
2. Soma suratul nnas,falaq na ikhlas mara Tatu Tatu
3.Soma ayatul qursiy
Utalala usingizi nyororo,sio jini wala sheitwan litakalokugusa usiku.
Kama mkristo,,,ngja tusubiri watumishi Wa bwana watakuelekeza!
Mpokee yesuHabarini ndugu zangu natumaini ni wazima,
Nina muda mrefu tangu nianze kuota nafanya mapenzi usiku mpaka naandika uzi huu ni kutokana na jinsi jana nilipoota nafanya mapenzi na mwanamama aliekua amevalia nguo nyeusi kwa kweli nilienjoy kabisa kama nafanya mapenzi live.
Ndugu zangu nifanyeje niache kuota hivi ukizingatia mimi ni mwanamke halafu naota nafanya na wanawake wenzangu.
Unamaana unaota mnasagana? Unasaga au unasagwa? Ni pepo hilo unahitaji kulikemeaHabarini ndugu zangu natumaini ni wazima,
Nina muda mrefu tangu nianze kuota nafanya mapenzi usiku mpaka naandika uzi huu ni kutokana na jinsi jana nilipoota nafanya mapenzi na mwanamama aliekua amevalia nguo nyeusi kwa kweli nilienjoy kabisa kama nafanya mapenzi live.
Ndugu zangu nifanyeje niache kuota hivi ukizingatia mimi ni mwanamke halafu naota nafanya na wanawake wenzangu.
naota na saga mkuu halaf nikimaliza napewa zawadi.....napikiwa msosi mzuriii nakula nikimaliza narud dunianiUnamaana unaota mnasagana? Unasaga au unasagwa? Ni pepo hilo unahitaji kulikemea
sijaolewaDuh! We una jini mahaba tena wa kike, vp umeolewa?
Leo nimelala fofofo.....sijaota kituNaamini uko macho muda huu nipe mrejesho
Epuka kulala chali mara nyingi husababisha kuota ndoto za ajabuajabu. Yawezekana ni pepo, unahitaji kuomba/ kuombewanaota na saga mkuu halaf nikimaliza napewa zawadi.....napikiwa msosi mzuriii nakula nikimaliza narud duniani
Poa fanya hivyo kila usikuLeo nimelala fofofo.....sijaota kitu