- Thread starter
- #181
uwiiii~chukua Mahindi makavu kabisa Yale ambayo hupelekwa kusaga kwa ajili ya unga,yakaange kama Karanga,yakishakuiva,ingia chooni uyatafune kiasi cha kiganja kimoja tu./ tatizo KWISHA.
uwiiii~chukua Mahindi makavu kabisa Yale ambayo hupelekwa kusaga kwa ajili ya unga,yakaange kama Karanga,yakishakuiva,ingia chooni uyatafune kiasi cha kiganja kimoja tu./ tatizo KWISHA.
me mwanamkeOa mke wako
me ke mkuuFurahia mkuu. Maana hulipishwi,huombwi hela ya saluni wala ya vocha.
Duh kwahiyo unaota unasagwa?me ke mkuu
ndioDuh kwahiyo unaota unasagwa?
***aisee! kwa kuwa ni dawa inabidi tu ajikaze, hasa kama ikitokea ndio anaishi nyumba za kupanga choo wanatumia watu wengi halafu ni choo cha SHIMO !!
Ni kweli mkuu.Ni kweli jini mahaba anaweza kumfanya mtu asisikie raha akikutana na binadamu mwenzake mkuu?
ninae
Hahahaaaa naona Dr mkuu kesha fika, natumai mlengwa hutatokewa tena na hayo mauzauzaAlale na kipande cha ndimu na kitunguu saumu hiyo hali itatoweka