Nimechoka kufanyishwa mapenzi

Nimechoka kufanyishwa mapenzi

ndugu yangu nimepata kisomo cha ruqya leo huwez amini kuna vitu vinatembea ndani ya mwili kama mdudu pia nilihisi kuungua na kupoteza fahamu naomba mniombee mtanzania mwenzenu

Mkuu;
Tukuombee kisomo zaidi au tukuombee nini tena?? Mbona mnaiga lugha ilee ati; Watanzania mniombee,Tukuombee nini??
PM tujuzane mambo. Mengine yapo kwenye uwezo wetu wenyewe
 
Ni maombi ya kumtoa huyo adui wa kiroho, kurejesha uharibifu uliofanyika pamoja na kufundishwa namna ya kukaa katika ulinzi pia adui akikung'ang'ania ataadhibiwa vikali. Ni vyema ungesema upo wapi ili upate usaidizi uliopo karibu mapema.

Wengi wanakutana na hayo na wanasaidika
nipo arusha
 
Mkuu;
Tukuombee kisomo zaidi au tukuombee nini tena?? Mbona mnaiga lugha ilee ati; Watanzania mniombee,Tukuombee nini??
PM tujuzane mambo. Mengine yapo kwenye uwezo wetu wenyewe
Asante
 
Habarini ndugu zangu natumaini ni wazima,

Nina muda mrefu tangu nianze kuota nafanya mapenzi usiku mpaka naandika uzi huu ni kutokana na jinsi jana nilipoota nafanya mapenzi na mwanamama aliekua amevalia nguo nyeusi kwa kweli nilienjoy kabisa kama nafanya mapenzi live.

Ndugu zangu nifanyeje niache kuota hivi ukizingatia mimi ni mwanamke halafu naota nafanya na wanawake wenzangu.
Mtumie Mungu wako, fanya maombi kabla ya kulala na pia ulalapo usizime taa. Hayo ni matendo ya giza hayawezi kufayika kwenye nuru.
 
Dah mkuu kwanza pole sana... Nakusihi umtafte sana Mungu maana ndio pekee atakaeweza kukuokoa katika hilo
 
Back
Top Bottom