Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Kwa sababu Binadamu hatupangiani maisha na hatuwezi kuwa sawa ki-life styles, kimipango, kimawazo, kiakili, kiupeo, kiutendaji, kiuwezo, kitabia, kimitizamo, kimaamuzi, kihekima na busara.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Soma tena post yako halafu ndio jibu swali ....

""Bila hekima ya Mungu kuishi na Ke ni kujichimbia kaburi ungali huelewi chochote.""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Naomba huyu tusafirishe mkuu, wenyewe hatuwezi kuyamaliza lazima wazazi wake na wangu washirikishwe kumbuka huyu hakuwa demu ni Mke na nimezaa nae .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…