Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Huyo mwanaume unamuonea tu. Kwani mkeo alibakwa au alilazimishwa au alitekwa akawa hana namna ya kukataa? Unaonekana hata bado hujakua upo kwenye 20s
 
Huyo mwanaume unamuonea tu. Kwani mkeo alibakwa au alilazimishwa au alitekwa akawa hana namna ya kukataa? Unaonekana hata bado hujakua upo kwenye 20s
Kwenye utamu ndo pana uchungu mzee, by the way this has nothing to do with age niwe na 50's, 20's haijalishi. Hongera wewe uliokua, ukichapiwa unamshukuru mkeo kwa kuchapiwa bila kubakwa.
 
Nakukumbusha tu kuna gunia mbili za mkaa zitakuhusu ukiendelea kuchelewesha hiyo nyama pori.
 
Itakuwa huna mpango wa kuoa aisee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…