Nimechanganyikiwa nisaidieni

Nimechanganyikiwa nisaidieni

Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Wewe mtoto nenda shule haraka,
Ningekua kaka ako ningekutia na vibao kabisa,
Hela yote hiyo uliyopewa baki laki mbili tu,
Kila semister unalipa laki moja,
Na ukithubutu kukata rufaa wanakutia zero kbsa usipate,
Wenzio wengi wana ada zero kbsa
 
usipo shukuru kwa hicho kidogo hutoshukuru kwa kikubwa ....ivi huwafikirii wenzio wengine tena watoto wa wakulima masikini..wasiojiweza huku wamekosa huo mkopo...! shukuru kwa hicho kidogo
 
Yani bro shukuru Sana Kwa Mungu umepewa hata hiyo laki Tisa hapo unahitaji kujibana kidogo Tu uongeze ili Ada itimie ...Mimi nimechaguliwa MD Ila nimeambulia Meals na accommodation Tu .....Asa sijui hela serikali waliosema wameongeza Kwa ajili ya mikopo imeenda wapi
MD wengine wamepata MA tu mkuu.. ni majanga hata sielewi hizo pesa zilizo ongezwa ziko wapi
 
Back
Top Bottom