suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,091
Kitendo cha kukubali kuondoka nyumbani na kumuacha na shamba boi julisha kubaki na simu yake alikuwa ameharibu ushahidi kwa 60%.Don't be so asured. Jf is like a secret society membership. Kwa maelezo tu yaonekana mkeo ni mjanja.
Pale alipokuwa 'cornered' na kuanza kumpa leading questions huyo shamba boy wako ni ishara kuwa yuko smart upstairs, so usishangae kutumia hata jf.
pia the moment ulipomuacha na kuendelea na shughuli zako, ni kosa kubwa ulilofanya, umempa nafasi ya kuharibu ushahidi.
Mtu mzima si lazima akili, kwa mwenye akili timamu ameshapata concern yako.
Chumguzeni uumbaji wa mungu kila mnyama dume moja ni kwa wake wengia
Yaani kuchiti kote anakofanya Bwana Pond ila bado ana haki ya kutomsamehe mkewe akikutwa na hatia ya kuchiti?
Hakika hii ni dunia ya kiume.
Hongereni kina baba.
Baada ya kukata Simu,machale yakanicheza sana. Nkaamua Kwenda nyumbani MDA huo huo, nmefk namkuta wife sebleni kashika Simu akitizama tv na shemej yangu (mdg wake wa kike).
Nmemuita chumbani kaja, nmemkalisha chini nikamwamvia anikabidhi Simu yake,Kisha nkamwambia "nataka kujua khs hii laini ngeni ulonipigia leo". Akasema "sio laini yangu, Ni laini ya kijana wetu wa ng'ombe, aliazima Simu yangu kubwa mara Moja ili awapigie videocall ndugu zake,ndo kasahau kuitoa"
Nkamwambia "kwaiyo iko wapi Hii laini" akasema "nishaitoa iko kwny kava la Simu, funua utaiona" nmefunua kweli nmeikuta. Ikabd kuiweka kwenye kisimu changu Cha tochi kuikagua.
Katk kuikagua, nikakuta haina sms yyt,ila Ina majina 9 yote yameseviwa majina ya ndugu na shoga zake wife. Nkahisi huyu ananidanganya, haiwezekani laini iwe ya kijana wa ng'ombe, afu phone book iwe na majina ya ndugu zake na shoga zake wife nnaowajua mimi. Ikabd kumfata kijana nmuulize.
watu wengi kwenye ndoa mmeoa malayaPunde nae wife kafika chumbani kapanic,analalamika Inamaana simuamini yeye MKE wa ndoa, namwamini kijana wa ng'ombe?
Nikamwambia "sio kwamba sikwamini, unachonambia hakiingii akilini. Kuanzia namna ulvonipigia Simu, Hadi kudai laini Ni ya kijana. Yaani laini ya kijana wa ng'ombe ikaseviwe majina ya ndugu zako na shoga zako, afu uyo uyo kijana asitambue hata jina Moja kwenye laini inayodaiwa Ni ya kwake. Hapa Kuna kitu kinafichwa."
Akasema,
"Hayo majina sijayakana,Ni yangu, Simu yangu ilkua mtu akipiga haileti majina kwenye kioo, ndo nikaamua kua nayasevu kila wakipiga" nkamuuliza "umeanza kuyasevu lini hayo majina?" Akasema "leo leo wote walkua wakinipigia Simu haileti majina".
Nkarejea kwenye Simu yake kubwa na kuangalia kwenye call records kuangalia majina yote 9 kwenye ile laini ya 900 Kama kweli namba zile 9 zote zilipiga. Nkakuta tangu mwezi wa 10 hamna hata Moja ilopiga,missedcall Wala kupokelewa kupitia Simu kubwa. Nkajua uyu mwanamke ananidanganya.
Nkamwambia wazi wazi
"wee mwanamke Ni mwongo, afu ujui unamdanganya mtu namna gani, humu kwny Simu yako hamna call yyt inayohusiana na hzo namba ulizosevu humu, vinginevyo useme uwa unatumia simu tofauti kuzipigia hizo namba zako. Na nataka niione hiyo Simu Sasa hivi" Akasema Hana Simu tofauti na hiyo.
Basi nikaona ananipotezea MDA,
Nmeondoka pale na kurud kuendelea na shughuli zangu. Lakini kichwan najua Kuna kitu hakiko sawa khs MKE wangu.
Hatua nilizochukua mpk sasa,
1. Nmeanza rasmi kuzifanyia uchunguzi namba Moja baada ya nyingine zilizoseviwa kwny Hii laini.
2. Nmeangalia usajili wa laini, namba imesajiliwa jina la kiume la kiislamu, nataka nianze kumfatilia kumjua mtu huyu Ni Nani.
3. Nmemuuliza mdg wake wa kike wife khs hizo laini (baadae asije geuza kibao Akasema laini za mdg wake), keshanambia haitambui laini Kama hiyo.
4. Kiukweli iman kwa MKE wangu imepungua mno, na kwa hili ntaanza kumchunguza kimya kimya Bila kupanic.
MWENYE MAWAZO,USHAURI AU MAONI TOFAUTI NAwaKARIBISHENI.
Nawasilisha![]()
Nyieee mkute mama G ndo mie hivooo....Acha nifurahi tu ilikuwa too much mama jay this mama jay that bwanah we ukijua huu wenzio wanajua ule kuwa mpole dawa ikuingie uone inavyoumaga
Wife anapata the best goal of the league, shuti kutoka katikati ya uwanja linamuacha kipa akiwa katoa macho, haamini anachokiona🤣🤣🤣🤣Wife anachomoa goal dakika za jioooooooniiiiii na kufanya ubao kuwa 1-1, 😂 mtanange unaendelea hapa


Nkeo kabila gani? Na anafanya kazi gani?Wakuu
Leo nikiwa bize sana dukani, nakuja kustuka Simu yangu ya private ina missedcall namba ngeni ya tigo inaishia na 900, ikabidi kuipigia haraka.
Simu imepokelewa, sauti ni ya wife, namuuliza vipi naona ulinipigia, Akasema sijakupigia. Nikamuuliza namba ya Nani Hii, mbona unatumia namba ngeni?. Akasema " sio namba ngeni, ni laini yangu ya Siku zote". Nikamwambia "sawa, nenda Kwenye point, ulikua unasemaje"
Akasema " Nlkupigia, nilitaka kukuuliza nikuhesabu chakula, utakuja kula?" Nikamuuliza "Ni lini nmewai kuja kula chakula Cha mchana nyumbani. Kwangu? Au umekosea namba?"
Akasema "nakoseaje namba yako mme wangu, kwani Kuna ubaya gani kukuuliza?" Nikamwambia "hamna ubaya, tatzo Hii namba ngeni ulonipigia, pia mazunguzo unayoleta Ni Kama hayanihusu Mimi" akahamaki.
Nikaongezea "Unanikaribishaje chakula Cha mchana na unajua kbs sijawahi kurudi mchana kula Lunch nyumbani?" Akasema "Basi yaishe, naona umekasirika mme wangu". Nikamwambia "sawa" Kisha nkakata Simu.
Manina, siku unagundua wewe ndio learner ndiopo utakapokabidhi ufunguo kwa mwenye gari.
Weka akiba ya maneno.







Endelea kujidanganya tu eti unamjua mke wako.Hapaswi kukaa na mwanamke kiboya eti kisa unamuamini. Kumchunguza haimaanishi kwamba unataka kumkamata uhuni wake. Ila muda mwingine unaweza jua mke wako anachangamoto gani ambazo ukizijua unaweza msaidia bila yeye kujua na ukadumisha mahusiano yenu.
Mimi wangu namjua mpaka basi, hadi anaenjoy kuwa na mimi.
Hawa viumbe muda mwingine wana changamoto ambazo hawa wezi kukwambia directly, wao wanataka uzijue bila kuambiwa. Na unakuta hizo changamoto zake yuko confortable kumuelezea rafiki au jamaa yake ila siyo wewe.
Mwanamke anataka mwanamme anaye njulia. Mfano anataka kuchepuka wewe uka intervine bila yeye kujua, atakuheshumu balaa na hatarudia tena.
Kwani kazi ya intelijensia kama CIA, MOSSAD, M16, KGB, TISS ni nini wakati kuna majeshi?
Nilimwambia muda tu kwamba mkeo anagaragazwa sana tu huko mtaani.Mchapaji ana elekea kuchapiwa
Madhara ya kubase kwa mchepuko ndio hayo anataka mke wake anyanduliwe na naniKaka ninavyo kuheshimu humu jukwaani kumbe na wewe una chapiwa bwana
Astaghafirullah
Simu private, maana ake Simu binafsi nnayoitumia Kwny Mambo yanyu binafsi ya family na marafiki. Sio Simu ya siriUngeangalia umeseviwaje, afu andika herufi mbili za mwanzo za hilo jina uliloseviwa utakuta namba ambayo ilitaka kupigiwa......
Ukute wote mmeseviwa Daddy
Hivi ulisema amekupigia kwenye simu yako ya Siri? Alikuwa anaijua hiyo simu yako ya siri?