DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,223
Wakuu
Leo nikiwa bize sana dukani, nakuja kustuka Simu yangu ya private ina missedcall namba ngeni ya tigo inaishia na 900, ikabidi kuipigia haraka.
Simu imepokelewa, sauti ni ya wife, namuuliza vipi naona ulinipigia, Akasema sijakupigia. Nikamuuliza namba ya Nani Hii, mbona unatumia namba ngeni?. Akasema " sio namba ngeni, ni laini yangu ya Siku zote". Nikamwambia "sawa, nenda Kwenye point, ulikua unasemaje"
Akasema " Nlkupigia, nilitaka kukuuliza nikuhesabu chakula, utakuja kula?" Nikamuuliza "Ni lini nmewai kuja kula chakula Cha mchana nyumbani. Kwangu? Au umekosea namba?"
Akasema "nakoseaje namba yako mme wangu, kwani Kuna ubaya gani kukuuliza?" Nikamwambia "hamna ubaya, tatzo Hii namba ngeni ulonipigia, pia mazunguzo unayoleta Ni Kama hayanihusu Mimi" akahamaki.
Nikaongezea "Unanikaribishaje chakula Cha mchana na unajua kbs sijawahi kurudi mchana kula Lunch nyumbani?" Akasema "Basi yaishe, naona umekasirika mme wangu". Nikamwambia "sawa" Kisha nkakata Simu.
Leo nikiwa bize sana dukani, nakuja kustuka Simu yangu ya private ina missedcall namba ngeni ya tigo inaishia na 900, ikabidi kuipigia haraka.
Simu imepokelewa, sauti ni ya wife, namuuliza vipi naona ulinipigia, Akasema sijakupigia. Nikamuuliza namba ya Nani Hii, mbona unatumia namba ngeni?. Akasema " sio namba ngeni, ni laini yangu ya Siku zote". Nikamwambia "sawa, nenda Kwenye point, ulikua unasemaje"
Akasema " Nlkupigia, nilitaka kukuuliza nikuhesabu chakula, utakuja kula?" Nikamuuliza "Ni lini nmewai kuja kula chakula Cha mchana nyumbani. Kwangu? Au umekosea namba?"
Akasema "nakoseaje namba yako mme wangu, kwani Kuna ubaya gani kukuuliza?" Nikamwambia "hamna ubaya, tatzo Hii namba ngeni ulonipigia, pia mazunguzo unayoleta Ni Kama hayanihusu Mimi" akahamaki.
Nikaongezea "Unanikaribishaje chakula Cha mchana na unajua kbs sijawahi kurudi mchana kula Lunch nyumbani?" Akasema "Basi yaishe, naona umekasirika mme wangu". Nikamwambia "sawa" Kisha nkakata Simu.