Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Tupo bro, uko wapi kwaniIla wenye vigezo wachache sn
Tupo bro, uko wapi kwaniIla wenye vigezo wachache sn
na umembananisha vuzuri sana, hata kua na amani for a while na hatarudia kua na line nyingine ya kificho kamwe..Ha ha ha....kwamba kajileta mwnyw
Mama maneno makali hayo...Unapigiwa huyo...
Hiyo ni mbinu yake ya kivita..
Daaah watu mpo live sanaUnapigiwa huyo...
Hiyo ni mbinu yake ya kivita..

Yaan ningekua ni wewe nisingeleta huu uzi humu mana ni aibuwewe umeanza kula nje mudaa ila mkeo kakutingisha kidogo tu umetoka mstarini. Ukae kwa kutulia dawa iingie.
Binadamu hatupendi kufanyiwa yale tunayowafanyia wengine... Kama tungekua tunavaa viatu vya wenzetu kabla ya kuwatendea mabaya basi tungekua makini kwa kutowaaumiza hisia wengine.Yaan ningekua ni wewe nisingeleta huu uzi humu mana ni aibuwewe umeanza kula nje mudaa ila mkeo kakutingisha kidogo tu umetoka mstarini. Ukae kwa kutulia dawa iingie.
Binadamu hatupendi kufanyiwa yale tunayowafanyia wengine... Kama tungekua tunavaa viatu vya wenzetu kabla ya kuwatendea mabaya basi tungekua makini kwa kutowaaumiza hisia wengine.Story ilipoanza tu kama muelewa ushagundua kitu, number yako ya private ikaita, Ni mke wako ndio alipiga. Aliijuaje hio number yako ya majanga? Mpaka hapo mke wako alishajua uozo wako na umalaya wako, aliamua kufanya hivyo ili akurushe roho na wewe. Ila hata kama anagongwa si na wewe unagonga huko? Tena pengine ni wake za watu pia unakula. Kausha usimchunguze sana bata utashindwa kumla,Wakuu
Leo nikiwa bize sana dukani, nakuja kustuka Simu yangu ya private ina missedcall namba ngeni ya tigo inaishia na 900, ikabidi kuipigia haraka.
Simu imepokelewa, sauti ni ya wife, namuuliza vipi naona ulinipigia, Akasema sijakupigia. Nikamuuliza namba ya Nani Hii, mbona unatumia namba ngeni?. Akasema " sio namba ngeni, ni laini yangu ya Siku zote". Nikamwambia "sawa, nenda Kwenye point, ulikua unasemaje"
Akasema " Nlkupigia, nilitaka kukuuliza nikuhesabu chakula, utakuja kula?" Nikamuuliza "Ni lini nmewai kuja kula chakula Cha mchana nyumbani. Kwangu? Au umekosea namba?"
Akasema "nakoseaje namba yako mme wangu, kwani Kuna ubaya gani kukuuliza?" Nikamwambia "hamna ubaya, tatzo Hii namba ngeni ulonipigia, pia mazunguzo unayoleta Ni Kama hayanihusu Mimi" akahamaki.
Nikaongezea "Unanikaribishaje chakula Cha mchana na unajua kbs sijawahi kurudi mchana kula Lunch nyumbani?" Akasema "Basi yaishe, naona umekasirika mme wangu". Nikamwambia "sawa" Kisha nkakata Simu.
Mkuu pole na nikuambie ya kwamba mkeo ana kudanganya km hayo uliyosema ni maelezo yake.Punde nae wife kafika chumbani kapanic,analalamika Inamaana simuamini yeye MKE wa ndoa, namwamini kijana wa ng'ombe?
Nikamwambia "sio kwamba sikwamini, unachonambia hakiingii akilini. Kuanzia namna ulvonipigia Simu, Hadi kudai laini Ni ya kijana. Yaani laini ya kijana wa ng'ombe ikaseviwe majina ya ndugu zako na shoga zako, afu uyo uyo kijana asitambue hata jina Moja kwenye laini inayodaiwa Ni ya kwake. Hapa Kuna kitu kinafichwa."
Akasema,
"Hayo majina sijayakana,Ni yangu, Simu yangu ilkua mtu akipiga haileti majina kwenye kioo, ndo nikaamua kua nayasevu kila wakipiga" nkamuuliza "umeanza kuyasevu lini hayo majina?" Akasema "leo leo wote walkua wakinipigia Simu haileti majina".
Nkarejea kwenye Simu yake kubwa na kuangalia kwenye call records kuangalia majina yote 9 kwenye ile laini ya 900 Kama kweli namba zile 9 zote zilipiga. Nkakuta tangu mwezi wa 10 hamna hata Moja ilopiga,missedcall Wala kupokelewa kupitia Simu kubwa. Nkajua uyu mwanamke ananidanganya.
Nkamwambia wazi wazi
"wee mwanamke Ni mwongo, afu ujui unamdanganya mtu namna gani, humu kwny Simu yako hamna call yyt inayohusiana na hzo namba ulizosevu humu, vinginevyo useme uwa unatumia simu tofauti kuzipigia hizo namba zako. Na nataka niione hiyo Simu Sasa hivi" Akasema Hana Simu tofauti na hiyo.
Basi nikaona ananipotezea MDA,
Nmeondoka pale na kurud kuendelea na shughuli zangu. Lakini kichwan najua Kuna kitu hakiko sawa khs MKE wangu.
Hatua nilizochukua mpk sasa,
1. Nmeanza rasmi kuzifanyia uchunguzi namba Moja baada ya nyingine zilizoseviwa kwny Hii laini.
2. Nmeangalia usajili wa laini, namba imesajiliwa jina la kiume la kiislamu, nataka nianze kumfatilia kumjua mtu huyu Ni Nani.
3. Nmemuuliza mdg wake wa kike wife khs hizo laini (baadae asije geuza kibao Akasema laini za mdg wake), keshanambia haitambui laini Kama hiyo.
4. Kiukweli iman kwa MKE wangu imepungua mno, na kwa hili ntaanza kumchunguza kimya kimya Bila kupanic.
MWENYE MAWAZO,USHAURI AU MAONI TOFAUTI NAwaKARIBISHENI.
Nawasilisha![]()
Ivo yaan....shetani kamkaribisha mwenyewehehehe kwani unaumia ? si kuna mama jay
ngoma dro
Idea ni nzuri kimkakati kumpa zawadi, ila kuweka uchunguzi ni mtihani ambao utakufelisha kimaishaMnununlie simu mpya ya android, tuna hack kisha unampa kama zawadi ya sikukuu. Hapo utajua kila kitu, ila unapaswa kuwa na kifua.
Wala asikutishe mkuu,Nifumbue jicho Apo,mbinu ya kivita kivipi
kachezewa ngoma anayocheza anaumiaIvo yaan....shetani kamkaribisha mwenyewe
Hapaswi kukaa na mwanamke kiboya eti kisa unamuamini. Kumchunguza haimaanishi kwamba unataka kumkamata uhuni wake. Ila muda mwingine unaweza jua mke wako anachangamoto gani ambazo ukizijua unaweza msaidia bila yeye kujua na ukadumisha mahusiano yenu.Idea ni nzuri kimkakati kumpa zawadi, ila kuweka uchunguzi ni mtihani ambao utakufelisha kimaisha