Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,569
Kwenye hii dunia kila mtu aishi anavyotaka, binafsi siwezi kuacha kula nyama...ni tamu sana. Hapa penyewe nimetoka kula ugali na kuku wa kienyeji.
Kuna rafiki yangu mmoja aliposti status ngamia akiwa anachinjwa kwa chini akaweka maneno kuwa hiyo video imemuumiza na hatokula nyama tena. Siku moja nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuuliza mzee vipi, si ulisema umeacha kula nyama? Akanambia "Naachaje kula nyama mzee!!?"😀😀😀
Kuna rafiki yangu mmoja aliposti status ngamia akiwa anachinjwa kwa chini akaweka maneno kuwa hiyo video imemuumiza na hatokula nyama tena. Siku moja nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuuliza mzee vipi, si ulisema umeacha kula nyama? Akanambia "Naachaje kula nyama mzee!!?"😀😀😀