Nimeanza maisha mapya kama Vegan

Nimegundua sex ni kipeuo cha ouvu, utumwa na ujinga. Sex inapoteza uhalisia wa mwanadamu na sababu nuai ya maisha. Sex hupoteza focus, concentration na heshima. Sex ni kichaka na kilinge cha watu dhaifu kiroho na kimwili.
 
Puchu ni lazima
 
Nafikiri Yote hayo hata mimi naweza ila kasoro moja tu.!
Yaani niache kabisa kufaidi "Mbususu" za hivi videmu vya chuo hapa Dodoma?
huo mtihani hapana aisee hivi vitoto vitamu sana jaman
 
Ni vzr japo wengi hushindwa kumaliza licha ya kuanza vzr kama hivi, jiandae kwa mitihani mingi kwa uamuzi wako but tafadhari mshirikishe Mwenyezi Mungu kwa mujibu wa imani yako, pekeyako huwezi kwa ulimwengu huu wa leo.
 
Ni vzr japo wengi hushindwa kumaliza licha ya kuanza vzr kama hivi, jiandae kwa mitihani mingi kwa uamuzi wako but tafadhari mshirikishe Mwenyezi Mungu kwa mujibu wa imani yako, pekeyako huwezi kwa ulimwengu huu wa leo.
Asante na shukrani kwa ushauri wako.
 
Haya anayafanya akiwa hapa hapa duniani ama anakua kwenye sayari yake nyingine?
kwani mimea nayo si ni viumbe hai? kwa nini anakula mboga za majani, matunda na yote yatokanayo na mimea? kwa nini ukaudhoofishe mti wa bange kwa kuchuma majani yake na baadae unyonge msokoto na kuyaunguza majanihayo wakati wa kunyonya wida?
 
Nakutamania, maisha mazuri hayo ila usijinyime sana ukatenda dhambi..mie nisipokula nyama 3dys roho hua inataka kutoka!

Soda nisipokunywa Coca sifanyi kitu nakua zoba.

Hapa niko sehem nasubiria mishikaki kwanza.

All the best
Mishikaki ya dogi inapendeza zaidi
 
Mkuu punguza Coca kidogo kidogo,ukiweza acha kabisa ila ukishindwa kuacha kunywa mara moja moja sana. Nyama sijajua unakula kiasi gani kwa mlo mmoja,ila kama ni nusu kilo au kilo punguza pia. Ila kama ni hizi za kutengeneza na ndizi au mboga sawa.
Pork sili kbs mkuu...sili nyama nyingi kivilee ...kama ni mishkak mayb 5!lakini kwenye coca ndo uraibu uko hapo ..! Najikaza sana . Nataman kukata kbs
 
Jiandae kuzikwa na gunzi kwenye tigo
 
Sasa mkuu ngozi Ina shida gani nayo hadi uiache?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…