Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,540
Habari wa nzengo (salaam kutoka Jijini Mwanza)
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa mwezi uliopita nilibahatika kununua kiwanja kwa bei ya kugalaliza vibaya sana.
Size ya kiwanja ni 25*23 hatua zangu za miguu.
Kiwanja kina msingi wa vyumba viwili, sebule na choo & bafu. Wana ndugu, nimehamasika sana kujenga nyumba ya mwendokasi; chumba na sebule. Budget yangu ni milioni 1. Baadhi ya raw materials kama mchanga na maji ni vya bure maana nachota kando ya mto.
Tofali nanunua za choma. Fundi kanishauri nijenge kwa kutumia Molam.
Naombeni maoni na ushauri
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa mwezi uliopita nilibahatika kununua kiwanja kwa bei ya kugalaliza vibaya sana.
Size ya kiwanja ni 25*23 hatua zangu za miguu.
Kiwanja kina msingi wa vyumba viwili, sebule na choo & bafu. Wana ndugu, nimehamasika sana kujenga nyumba ya mwendokasi; chumba na sebule. Budget yangu ni milioni 1. Baadhi ya raw materials kama mchanga na maji ni vya bure maana nachota kando ya mto.
Tofali nanunua za choma. Fundi kanishauri nijenge kwa kutumia Molam.
Naombeni maoni na ushauri