Umesahau Choo mkuu,Wakuu, Naombeni msaada, hivi kujenga Nyumba ya chumba kimoja, sebule na jiko, inaweza tumia kiasi gani? Nipo Dar mimi, kiwanja tayari kipo
yan ushamaliz kila kitu na pengine isitosheAiseee kumbe mlima, hapo unakuwa umepiga hadi plasta chini tiles si ndio au finishing ya kawaida ni ipi ?
ni bora ujenge vyumb viwil ela itaongezek n kidog sanOooooh kumbe bei imechangamka aiseee, ukiweka vyumba viwili itasogea kwenye 13 hiv si ndio