Kiwanja nikiuze au nijenge apartment ya chumba, sebule, choo na jiko?

Mikepoti

Senior Member
Jun 5, 2014
101
136
Wadau naomba mnisaidie ushauri ,nina kiwanja cha sqm 1000 nawaza nikiuze au nijenge apartment ya chumba ,sebule,choo na jiko !!
Lengo la kukiuzaa nataka nibadilishe eneo nikanunue sehemu nyingne!
Nahofia kujenga apartment kwa sababu kile kiwanja kipo mbali (zanzbar) nahofia control itakuwa ngumu ya kukusanya kodi!
 
Wadau naomba mnisaidie ushauri ,nina kiwanja cha sqm 1000 nawaza nikiuze au nijenge apartment ya chumba ,sebule,choo na jiko !!
Lengo la kukiuzaa nataka nibadilishe eneo nikanunue sehemu nyingne!
Nahofia kujenga apartment kwa sababu kile kiwanja kipo mbali (zanzbar) nahofia control itakuwa ngumu ya kukusanya kodi!
Znz ardhi ina bei kubwa sana bora ukiuze utapata mkwanja mrefu
 
Back
Top Bottom