Mikepoti
Senior Member
- Jun 5, 2014
- 101
- 136
Wadau naomba mnisaidie ushauri ,nina kiwanja cha sqm 1000 nawaza nikiuze au nijenge apartment ya chumba ,sebule,choo na jiko !!
Lengo la kukiuzaa nataka nibadilishe eneo nikanunue sehemu nyingne!
Nahofia kujenga apartment kwa sababu kile kiwanja kipo mbali (zanzbar) nahofia control itakuwa ngumu ya kukusanya kodi!
Lengo la kukiuzaa nataka nibadilishe eneo nikanunue sehemu nyingne!
Nahofia kujenga apartment kwa sababu kile kiwanja kipo mbali (zanzbar) nahofia control itakuwa ngumu ya kukusanya kodi!