Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,947
- Thread starter
-
- #21
Nitaanza na wewe mkuu,He he he he he he he he! Mkuu Chris Lukosi mbona unataka kunipasua mbavu usiku huu?! Ahya bwana karibu CDM basi kubwa na nilijua tu lazima utarudi pimbi ww, sasa acha upunguani na umbulumbundu wako, maana hiki chama tunataka makamanda tu na sio wachumia tumbo.
Karibu mkuu.
Chadema haipokei mashoga
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
akili nyingne @#%%"~*
Duuuh, imekuwaje tena? Mhh haya ni maamuzi magumu sana. Chadema mpokeeni kondoo huyu.
Umesikia kuna mchongo wa rambi rambi nyingine au??
Naona una utani na Mbunge Wako
pombe at work
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!
NDUgu zanguni,
Leo hii imenibidi nifanye maamuzi magumu ya kurudi Chadema .
nimeamua kurudi Chadema kutoa elimu ya kujitambua ili vijana wajitambue na kukataa kutumiika Kama misukule .
Ni mategemeo yangu makamanda wengine wataungana nami Kwenye shughuli hii ya kuwatoa pepo anaewavuruga machadema
Vijana semeni NO! Kwa Hawa matapeli , Chadema ni Mali ya Mtei na warithi wake tu.
JITAMBUE!