Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Nonsense.
 
Hizi ni Tuhuma za ukwepaji kodi bila ushahidi na tuhuma kuwa nchi yetu pale bandarini kodi zinakusanywa kutegemea na timu unayosapoti bila ushahidi.
 
Jezi mpya za Simba SC zimekwamishwa kwasababu ya nembo ya mdhamini, jezi zilizotengenezwa mwanzo zilikuwa na mdhamini aliyepita, hivyo alivyokuja M - bet imebidi yafanyike mabadiliko, huu ndio ukweli halisi.
Seriously!?
Kwamba hadi msimu unaisha simba ilikuwa haijui kuwa haitaendelea na na sportpesa? Kwamba mkataba na M bet mazungumzo yamefanyika chini ya miezi miwili?
 
Seriously!?
Kwamba hadi msimu unaisha simba ilikuwa haijui kuwa haitaendelea na na sportpesa? Kwamba mkataba na M bet mazungumzo yamefanyika chini ya miezi miwili?
Kujibu hili Swali lako na Kuthibitisha kuwa huyu denooJ ni 'damn Nut' na asitake Kushindana na Mimi GENTAMYCINE kuhusu kujua Mambo ya Simba SC na Mpira wa Tanzania ( Soka la Bongo ) ni kwamba jana tu Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa Wasafi FM alikiri na Kusikika na Watu wote wenye Akili Kubwa na Timamu kuwa Simba SC ndani ya mwaka Mmoja ilikuwa inajua kuwa itaachana na Sport Pesa.

Naendelea Kusisitiza ukiona GENTAMYCINE naandika Jambo hapa liamini kwa 100% kwani Silaha Kubwa niliyonayo ni kuwa na Authoritative, Credible na Reliable Sources wa Deep Info katika Maeneo Mtambuka mbalimbali halafu nina Kipaji cha Kudadisi, Kumtega Mtu na kuvaa Uhusika fulani ( kuwa Kinyonga ) ili nikipate kile ambacho huwa nakuhitaji popote pale hata kama ni sehemu Hatarishi au yenye Vikwazo.
 
Hizi ni Tuhuma za ukwepaji kodi bila ushahidi na tuhuma kuwa nchi yetu pale bandarini kodi zinakusanywa kutegemea na timu unayosapoti bila ushahidi.
Mwambieni Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' kuwa alipe Kodi Mzigo utoke Bandarini vinginevyo akina Sakho, Okra na Phiri Jumatatu ( Simba Day ) watacheza wakiwa Vidali Poo ( Vifua Wazi ) pale Estadio Du Mkapa sawa?

Walipe Kodi hakuna Janja Janja hapa.
 
Kujibu hili Swali lako na Kuthibitisha kuwa huyu denooJ ni 'damn Nut' na asitake Kushindana na Mimi GENTAMYCINE kuhusu kujua Mambo ya Simba SC na Mpira wa Tanzania ( Soka la Bongo ) ni kwamba jana tu Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa Wasafi FM alikiri na Kusikika na Watu wote wenye Akili Kubwa na Timamu kuwa Simba SC ndani ya mwaka Mmoja ilikuwa inajua kuwa itaachana na Sport Pesa.

Naendelea Kusisitiza ukiona GENTAMYCINE naandika Jambo hapa liamini kwa 100% kwani Silaha Kubwa niliyonayo ni kuwa na Authoritative, Credible na Reliable Sources wa Deep Info katika Maeneo Mtambuka mbalimbali halafu nina Kipaji cha Kudadisi, Kumtega Mtu na kuvaa Uhusika fulani ( kuwa Kinyonga ) ili nikipate kile ambacho huwa nakuhitaji popote pale hata kama ni sehemu Hatarishi au yenye Vikwazo.
Katika hili mashabiki wa simba hawatakiwi kujaribu kutafuta sababu ya kuitetea timu. Kuna uzembe mkubwa kwenye suala la jezi msimu huu. Ukweli ndo utafanya tupige hatua mbele na siyo kubebana bebana.
 
Seriously!?
Kwamba hadi msimu unaisha simba ilikuwa haijui kuwa haitaendelea na na sportpesa? Kwamba mkataba na M bet mazungumzo yamefanyika chini ya miezi miwili?
Narudia tena huo ndio ukweli, unaweza kuwa kwenye mazungumzo na mdhamini wa zamani, then ghafla akajitokeza mdhamini mpya, lazima umsikilize offer yake uijue, kama ukikubaliana nae unasaini nae mkataba, na hiki ndicho kilichotokea kwa Simba SC.

Suala la jezi kurekebishwa hilo ni jambo dogo sana, haliwezi kuizuia klabu kuingia mkataba wa bilions of money.
 
Kujibu hili Swali lako na Kuthibitisha kuwa huyu denooJ ni 'damn Nut' na asitake Kushindana na Mimi GENTAMYCINE kuhusu kujua Mambo ya Simba SC na Mpira wa Tanzania ( Soka la Bongo ) ni kwamba jana tu Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa Wasafi FM alikiri na Kusikika na Watu wote wenye Akili Kubwa na Timamu kuwa Simba SC ndani ya mwaka Mmoja ilikuwa inajua kuwa itaachana na Sport Pesa.

Naendelea Kusisitiza ukiona GENTAMYCINE naandika Jambo hapa liamini kwa 100% kwani Silaha Kubwa niliyonayo ni kuwa na Authoritative, Credible na Reliable Sources wa Deep Info katika Maeneo Mtambuka mbalimbali halafu nina Kipaji cha Kudadisi, Kumtega Mtu na kuvaa Uhusika fulani ( kuwa Kinyonga ) ili nikipate kile ambacho huwa nakuhitaji popote pale hata kama ni sehemu Hatarishi au yenye Vikwazo.
Kweli mimi siwezi kushindana na ujinga wako, umeniacha mbali sana popoma.

Hebu jibu hili, huyo Ahmed Ally wakati akihojiwa huko Wasafi FM aliwaambia Simba SC wakiachana na Sportpesa watasaini mkataba na mdhamini gani?

Kama ulikuwa humjui mdhamini, na hujui mazungumzo yalivyokuwa yakiendelea, hapa unaropoka tu, jifunze kufunga domo lako.
 
Narudia tena huo ndio ukweli, unaweza kuwa kwenye mazungumzo na mdhamini wa zamani, then ghafla akajitokeza mdhmini mpya, lazima ummsikilize offer yake uijue, ukikubaliqna nae unasaini nae mkataba, na hiki ndicho kilichotokea kwa Simba SC.
Mbona nduguyo genta kasema jana msemaji wenu kakiri kuwa mipango ya kuachana na sportpesa ilikuwepo mwaka mmoja kabla.?

Na kiuhalisia, ni ngumu kufanya majadiliano ya mkataba kama ule wa m bet kwa kipindi cha chini ya miezi miwili.
 
Mbona nduguyo genta kasema jana msemaji wenu kakiri kuwa mipango ya kuachana na sportpesa ilikuwepo mwaka mmoja kabla.?

Na kiuhalisia, ni ngumu kufanya majadiliano ya mkataba kama ule wa m bet kwa kipindi cha chini ya miezi miwili.
Sina undugu na huyo popoma, huyo ni mropokaji anayetumia uwezo mdogo wa kuhoji wa wengi wenu humu ndani kuwalisha matango pori, akiulizwa maswali mazito anabadilisha story badala ya kuyajibu.

Nikuulize nawe, kwanini unaamini kufanya mazungumzo ya mkataba kama wa M- bet sharti ichukue miezi miwili na sio chini ya hapo?

Mkataba wowote it's all about money, kama mlengwa kaja na fungu la kueleweka hakuna sababu yoyote ya kupoteza muda.

Upeo wenu ni mdogo ndio maana mnamuamini popoma.
 
Narudia tena huo ndio ukweli, unaweza kuwa kwenye mazungumzo na mdhamini wa zamani, then ghafla akajitokeza mdhamini mpya, lazima umsikilize offer yake uijue, kama ukikubaliana nae unasaini nae mkataba, na hiki ndicho kilichotokea kwa Simba SC.

Suala la jezi kurekebishwa hilo ni jambo dogo sana, haliwezi kuizuia klabu kuingia mkataba wa bilions of money.
Mwanzo ulisema ( ulidanganya ) tena kwa Kubisha kuwa Simba SC ilikuwa haijui kuwa itaachana na Sport Pesa na kwamba imejua tu hivi karibuni.

Haya jana tu Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa Wasafi FM akihojiwa na Yusuf Mkule kwa Kinywa chake akiwa na uhakika alisema ( alikiri ) kuwa Simba SC ndani ya Mwaka Mmoja ilikuwa inajua kuwa itaachana na Sport Pesa.

Swali Kuntu je, tukuamini Wewe Juha ( Moron ) na Taahira ( Mental ) Mwandamizi au tuendelee Kuiamini Sauti ya Klabu yetu Simba SC Ahmed Ally?

Nikikudharau / Nikiwadharau Kutwa hapa na kuwaambieni kuwa hamna Akili mnabisha na hata Kukasirika pia wakati kumbe kwa 100% huwa nakuwa sahihi mno.
 
Tuliwaambia simba ni ujanja chini ya Mo (kabachori) mkabisha aya sasa.

Mtu anakataliwa mpaka na kaka yake nyie mpo kumsifia tu
 
Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.

Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.

Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.

Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Wape baba! Wape vidonge vyaooo! Wakimeza wakitema, hiyo ni shauri yao.
 
Mwambieni Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' kuwa alipe Kodi Mzigo utoke Bandarini vinginevyo akina Sakho, Okra na Phiri Jumatatu ( Simba Day ) watacheza wakiwa Vidali Poo ( Vifua Wazi ) pale Estadio Du Mkapa sawa?

Walipe Kodi hakuna Janja Janja hapa.
Kucheza kidali poo si suala la kukusumbua wewe, ni suala la wanasimba.
 
Kweli mimi siwezi kushindana na ujinga wako, umeniacha mbali sana popoma.

Hebu jibu hili, huyo Ahmed Ally wakati akihojiwa huko Wasafi FM aliwaambia Simba SC wakiachana na Sportpesa watasaini mkataba na mdhamini gani?

Kama ulikuwa humjui mdhamini, na hujui mazungumzo yalivyokuwa yakiendelea, hapa unaropoka tu, jifunze kufunga domo lako.
Jibu lako.....

Kwa Taasisi ( Corporate ) inayojitambua ( siyo Simba SC yako ) ikijua kuwa itaachana na Kampuni X basi huwa tayari inajua itakuwa na nani ila kwa Waswahili na Nuts wa Simba SC tulichokifanya ni kuachana na Sport Pesa na Kubandua Nembo yao kwa Kucha za CEO Barbara Gonzalez na Ulimi wa Msemaji Ahmed Ally na kuweka kwa Juu Nembo ya Mbet.
Heheheiyaaa, nicheke mie jamani huyu kaka/dada GENTAMYCINE anajifanya kila kitu anajua yeye, yaani hakuna ambacho hajui. Loh
 
Back
Top Bottom