GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Chanzo Taarifa: EFM Sports Headquarters
Na kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Watu wa ndani Simba SC ni kwamba kuna Uwezekano baada ya Jezi Kuzinduliwa leo kati ya Saa 10 Jioni hadi Saa 1 Usiku kwa Uzuri wake zikanunuliwa kwa Kasi zote nchini na kuisha.
Pia kuna uwezekano hata Marais wa Marekani Joe Biden na wa Ufaransa Emanuel Macron wakampigia Simu Rais wa Tanzania Samia Hassan wakiomba Simba SC iende katika Ikulu zao kwa Mualiko Maalum.
Shikamoo Sandaland kwa Jezi Kali!!!!
Na kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Watu wa ndani Simba SC ni kwamba kuna Uwezekano baada ya Jezi Kuzinduliwa leo kati ya Saa 10 Jioni hadi Saa 1 Usiku kwa Uzuri wake zikanunuliwa kwa Kasi zote nchini na kuisha.
Pia kuna uwezekano hata Marais wa Marekani Joe Biden na wa Ufaransa Emanuel Macron wakampigia Simu Rais wa Tanzania Samia Hassan wakiomba Simba SC iende katika Ikulu zao kwa Mualiko Maalum.
Shikamoo Sandaland kwa Jezi Kali!!!!