GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Kama kuna Mtu ambaye anajuta kwanini kaacha Kazi Azam Media na kaja kuwa Msemaji wa Simba SC basi atakuwa ni Msemaji wa sasa Ahmed Ally.
Wengi wenu huwa mnamuona Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally yuko very normal ila ukweli ni kwamba ana Maumivu makubwa Moyoni hasa la Kutukanwa mara kwa mara na CEO Barbara Gonzalez lakini Kubwa ni la Kucheleweshewa Mshahara wake ambao hata akipewa nao hupewa Nusu Nusu tu.
Na kibaya zaidi hata Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally akirudi Kwake pia anakumbana na 'Balaa' jingine kutoka kwa Mkewe ambaye alimuonya kutotoka ( kuacha Kazi ) Azam Media na kuja kuwa Msemaji wa Kunyanyasika, Kutukanwa na Kudharaulika wa Simba SC na sasa hawako vizuri.
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally umeshanunuliwa na Simba SC Gari Jipya na la Kifahari ( uliloahidiwa na CEO Barbara Gonzalez ) hadi ukaamua Kuuza 'Gari Mkweche' lako?
Ndiyo maana Shemeji ( Shemela ) Wetu anakupiga sana Vibao ( Kelebu ) mara kwa mara kutokana na Kukurupuka Kwako kuacha Kazi Azam Media na kuja kuwa Msemaji wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original )
Mmenikera sana leo kwa Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kutufanya ( kunifanya ) Nikeshe kama Popo hivyo nami sasa Nakisanua tu kwa Kuwaanikeni ili Mnyooke.
Wengi wenu huwa mnamuona Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally yuko very normal ila ukweli ni kwamba ana Maumivu makubwa Moyoni hasa la Kutukanwa mara kwa mara na CEO Barbara Gonzalez lakini Kubwa ni la Kucheleweshewa Mshahara wake ambao hata akipewa nao hupewa Nusu Nusu tu.
Na kibaya zaidi hata Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally akirudi Kwake pia anakumbana na 'Balaa' jingine kutoka kwa Mkewe ambaye alimuonya kutotoka ( kuacha Kazi ) Azam Media na kuja kuwa Msemaji wa Kunyanyasika, Kutukanwa na Kudharaulika wa Simba SC na sasa hawako vizuri.
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally umeshanunuliwa na Simba SC Gari Jipya na la Kifahari ( uliloahidiwa na CEO Barbara Gonzalez ) hadi ukaamua Kuuza 'Gari Mkweche' lako?
Ndiyo maana Shemeji ( Shemela ) Wetu anakupiga sana Vibao ( Kelebu ) mara kwa mara kutokana na Kukurupuka Kwako kuacha Kazi Azam Media na kuja kuwa Msemaji wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original )
Mmenikera sana leo kwa Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kutufanya ( kunifanya ) Nikeshe kama Popo hivyo nami sasa Nakisanua tu kwa Kuwaanikeni ili Mnyooke.