PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Hizo oppo, xiaomi na oneplus zikisambaa bongo nitadaka mojawapo... Hasahasa xiaomi
So nikinunua oppo india bongo inafanya kazi kama kawaida tuYeah nimekubali, wako safi. Oppo ni brand ya India lakini sema zinazalishwa China.
simu za 64bit zina uwezo wa kuwa na ram zaidi ya 3gb wakati za 32bit haziwezi fika huko.Asante mkuu,hivi tofauti ya simu ya bit-32 na ya bit-64 ni nini?
una source kwamba ni kampuni ya wahindi?Oppo ni mali ya wahindi. Wanayo brand nyingine inaitwa VIVO last eddition ni V5. Ipo kama I PHONE.
Kama simu yangu ni 64-bit halafu ina ram ya 1GB,je kuna Faida yeyote ambayo nitaipata Kwanye hiyo simu mkuu?simu za 64bit zina uwezo wa kuwa na ram zaidi ya 3gb wakati za 32bit haziwezi fika huko.
India pia wanafanya production .Yeah nimekubali, wako safi. Oppo ni brand ya India lakini sema zinazalishwa China.
walipoanza kutengeneza soc za 64bit waliacha kabisa kutengeneza za 32bit hivyo soc za 64bit ni mpya na zina nguvu, cortex a53 ina nguvu kuliko cortex a7 na cortex a72 ina nguvu kuliko cortex a15Kama simu yangu ni 64-bit halafu ina ram ya 1GB,je kuna Faida yeyote ambayo nitaipata Kwanye hiyo simu mkuu?
mbona huyu jamaa anawalazimisha watu....hata mimi najua oppo,vivo ni za chinauna source kwamba ni kampuni ya wahindi?
Hizo brands zinajitahidichoice nzuri mkuu, oppo/huawei/xiaomi ndio brand zinazouza sana china na vitu vyao vina quality compare na michina mengine.
Source gani unataka? Soma hizo simu zimeandikwa wapi zimetengenezwa.una source kwamba ni kampuni ya wahindi?