Angalia utafiti wako usije kuwa umekuacha na magonjwa. pia acha udharirishaji kaka, pamoja na kuwa nitakuwa wa mwisho kuamini eti umefanikiwa kulala na mabinti tisa labda kama ulikuwa unawanunua wa buguruni-kimboka, hayo nimeongea tu ila ninachosisitiza ACHA KUDHARIRISHA WANAWAKE
Angalia utafiti wako usije kuwa umekuacha na magonjwa. pia acha udharirishaji kaka, pamoja na kuwa nitakuwa wa mwisho kuamini eti umefanikiwa kulala na mabinti tisa labda kama ulikuwa unawanunua wa buguruni-kimboka, hayo nimeongea tu ila ninachosisitiza ACHA KUDHARIRISHA WANAWAKE
Teh teh teh teh!Tell me about it!Mikojo kibao .Cc 2013 dada zako ovyo sana wewe.
Naomba ieleweke kwamba Sina lengo la kukashifu kabila la mtu ila ukweli lazima usemwe bila kijali watu wataupenda au la.
Binafsi huwa sipendi mambo ya kuambiwa na huwa siyaamini maana najua hata mahakama ya sheria haitambui maneno ya kuambiwa. Nimekua nikisikia na kusoma mada nyingi humu watu wakilalamika kwamba wasichana wa kichaga hawajui mapenzi na kwa kua nilikua suijawahi kutoka na binti hata mmoja wa kichaga nikaamua nijiridhishe mwenyewe dhidi ya hizo tuhuma je ni kweli au wanawasingizia?
Nikaamua kufanya utafiti usio rasmi ila nilifuata njia zote za kitaalam za kufanya utafiti hivyo nikaamua kutumia njia isiyo na mpangilio(random sampling).
Hivyo toka mwezi wa 11 nimebahatika kukutana na wasichana 9 wa kichaga wa madaraja tofauti,yaani wanafunzi wa vyuo,wafanya biashara,wahudumu wa baa(siku hizi wahudumu wengi wa baa ni wachaga) na mama mtilie.
Hakika nimethibitisha kweli kua wanawake wa kichaga mapenzi yaliwapita pembeni,yaani ni sifuri kabisa.
Niwatakie sherehe njema ya krismas na mwaka mpya.
Naomba ieleweke kwamba Sina lengo la kukashifu kabila la mtu ila ukweli lazima usemwe bila kijali watu wataupenda au la.
Binafsi huwa sipendi mambo ya kuambiwa na huwa siyaamini maana najua hata mahakama ya sheria haitambui maneno ya kuambiwa. Nimekua nikisikia na kusoma mada nyingi humu watu wakilalamika kwamba wasichana wa kichaga hawajui mapenzi na kwa kua nilikua suijawahi kutoka na binti hata mmoja wa kichaga nikaamua nijiridhishe mwenyewe dhidi ya hizo tuhuma je ni kweli au wanawasingizia?
Nikaamua kufanya utafiti usio rasmi ila nilifuata njia zote za kitaalam za kufanya utafiti hivyo nikaamua kutumia njia isiyo na mpangilio(random sampling).
Hivyo toka mwezi wa 11 nimebahatika kukutana na wasichana 9 wa kichaga wa madaraja tofauti,yaani wanafunzi wa vyuo,wafanya biashara,wahudumu wa baa(siku hizi wahudumu wengi wa baa ni wachaga) na mama mtilie.
Hakika nimethibitisha kweli kua wanawake wa kichaga mapenzi yaliwapita pembeni,yaani ni sifuri kabisa.
Niwatakie sherehe njema ya krismas na mwaka mpya.
tatizo lilikua wewe ni kibamia so ni ngumu sana kuoneshewa manjonjo kinatokatoka ila mapenzi tunajua banah, karefushe hiko kitoto ndoo.
Kudhalilisha na sio kudharirisha.
Mkuu mbo 9 ni wachache sana kwa baadhi ya wanaume?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mkuu umekutana nao kivipi....?
Hao 9 wote umefanya nao mapenzi au mazungumzo?
hao mabinti wa kichaga uli duu wote au??
Acha kuchafua lugha yetu nzuri ya kiswahili. Sehem ya "L" unaweka 'r' mfano kudharirisha badala ya kudhalilisha. Una mapengo au.?
kuna mtu anataka naye akufanyie utafiti,uko tayari mkuu?