Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

Zee letu Tupatupa big up sana acha hao wenye mioyo migumu kuamini watajionea cku ziendavyo!
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
MLIKOSEA PALE mlipompokoe Lowasa .
 
Hivi tume vipi mbona hawatangazi tena
 
Wewe Naona ni Fisadi Mkubwa.Subiri mda ukifika.Uko kweni hata Lami hamna Akili zenu mgando tuu.
 
CCM inaondoka madarakani?

Hilo sahau.

Kwanza, tume ya uchaguzi lazima itawabeba tu. Hilo halina mjadala kabisa. Maana tume ni ya kwao.

Pili, idadi ya Watanzania walio majuha ni kubwa mno. They don't know any better. Wao wanaitaka CCM tu.

Vyama vingine vitawaletea vita.
 
Zanzibar Tumeshachukua, tunasubiri matokeo ya BARA, NEC wanaogopa kutangaza!
 
MLIKOSEA PALE mlipompokoe Lowasa .

Kama dr wa mihogo tungebaki nae tungekuja kuhujumiwa na mikutano yake ming ilikuwa inatawaliwa na vurungu kitu ambacho alikuwa amesha pewa mlungula na tusingevuna wabunge wengi
 
CCM inaondoka madarakani.

Rais ni Lowasa..

CCM inaondoka madarakani?

Hilo sahau.

Kwanza, tume ya uchaguzi lazima itawabeba tu. Hilo halina mjadala kabisa. Maana tume ni ya kwao.

Pili, idadi ya Watanzania walio majuha ni kubwa mno. They don't know any better. Wao wanaitaka CCM tu.

Vyama vingine vitawaletea vita.
 
Mi niliamini ccm itaondoka madarakani mwaka huu..lakini game limebadilika..kumbe upinzani ulikuwa ni wa moto wa mabua..
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
katika watu ninao waheshimu Lumumba, ni wewe tu. Si mnafiki, unaongea bila ushabiki na unazi wa kipumbavu, unaamini kile unacho amini bila shurti la sivyo usingekuwa ccm hadi leo, unakosoa panapotakiwa na kupongeza panapotakiwa hata kama inaathiri kwako, Huu ni mtazamo wangu binafsi,kama unawako its you

I SALUTE YOU VUTA-NKUVUTE
 
Last edited by a moderator:
Wapinzani wanatakiwa kushikamana zaidi ya hapa
I wish UKAWA ndo ingekuwa chama kimoja sa hivi tungekuwa tunaongea habari nyingine
Any ways matokeo ya urais bado hayajatoka
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam


Nasikitika Bado waliotufikisha pabaya baadhi yao wataendelea kubaki
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam



Nashukuru kwa upinzani uliooneshwa hakika unaifanya ccm kufanya kazi kwa lajili ya watanzania
 
Back
Top Bottom