Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

Pengine wanachungulia kwanza wajue kama UKAWA walibaki na backup baada ya kuwahujumu jana au kama wanazo nakala zote za mawakala kutoka vituoni. Wakishajua ni takwimu zipi UKAWA wamewaharibia, basi waendelee.

Wananchi wenyewe wanayo matokeo yao mikononi unafikiri ni kitu rahisi.
 
CCM inaondoka madarakani?

Hilo sahau.

Kwanza, tume ya uchaguzi lazima itawabeba tu. Hilo halina mjadala kabisa. Maana tume ni ya kwao.

Pili, idadi ya Watanzania walio majuha ni kubwa mno. They don't know any better. Wao wanaitaka CCM tu.

Vyama vingine vitawaletea vita.
Bado kuna wajinga wengi katika nchi hii.
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

CCM watashinda sana sema wewe umekuwa unakurupuka sana siku hizi. ..tulia mpaka mwisho na miji kuwa chini ya upinzani ni jambo positiv kwasababu hiyo ndo demokrasia ..usibabaike wakati wewe ni mkongwe
 
Uhuru wa kuchagua nani unayemtaka ni demokrasia, huo unaitwa ujinga....acheni kila mtu atumie haki yake ya kikatiba kuchagua kiongozi anayemfaa, kwa maoni yake!!!
 
Wananchi wenyewe wanayo matokeo yao mikononi unafikiri ni kitu rahisi.
a


Si kama Kyela Mwakyembe ameaguka vibaya lakini kwa maelekzo ya mkuu wao wanalazimisha kumtangaza mshindi. Wananchi wamekusanyana hapo ofisini polisi wanapiga mabomu mji mzima tena ni karibu na hospital ya Wilaya ili watu wasambae wamtangaze kwa nguvu. Wanasubiri giza liingie watu hawapo watangaze wanavyotaka. Ninaamini hili ni elekezo maalumu kwa kila mahala.
 
mi huwa napenda haina ya uandishi wako...
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Wewe ni tupatupa wa ufipa Taja hizo Manispaa na hiyo miji midogo ambayo ukawa mmechukua. Mpaka mnatia aibu kudadadadeki. Kule zanzibar jamaa kakimbilia DW kuomba hisani na sasa FFU wameingia mtaani wanaipata fresh. Huku jamaa kakimbilia VOA kudadadeki mtaisoma namba komba hakukosea.

PEOPLEEEEEEEEES PAMPERS
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Rais ni Magufuli. Miji mingi halmashauri zitakuwa chini ya upinzani. Je, wataweza kucheza mziki wa #Hapa Kazitu au ndo watajificha majumbani! Ole wao watafune fedha za Halmashauri, mahakama ya mafisadi inawasubiri!
 
Wewe ndio umekua hufai kabisa unajifanya uko ndani ccm lakini ni kijana wa bavicha. Imekula kwako na unafiki wako wa kishoga.
 
Back
Top Bottom