Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

Nimeamini kuwa CCM inaondoka madarakani

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,006
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Mzee mwenzangu, nimechukua likizo ili nifuatilie matokeo, hata hivyo matokeo yenyewe yamekua magumu sana kuonekana, tangu asubuhi NEC wametokea mara moja tu na majimbo matatu tu!!!
 
unajitekenye na kucheka mwenyewe.
 
CCM bado ataendelea tawala miaka mingi kama upinzani utaendelea kuwa wa kipuuzi ivi.

NCCR ndo imekufa ivo.
 
Mzee mwenzangu, nimechukua likizo ili nifuatilie matokeo, hata hivyo matokeo yenyewe yamekua magumu sana kuonekana, tangu asubuhi NEC wametokea mara moja tu na majimbo matatu tu!!!


Pengine wanachungulia kwanza wajue kama UKAWA walibaki na backup baada ya kuwahujumu jana au kama wanazo nakala zote za mawakala kutoka vituoni. Wakishajua ni takwimu zipi UKAWA wamewaharibia, basi waendelee.
 
Nakuhakikishia Ukawa kwa pamoja hawatafikisha hata majimbo 60 ya ubunge. Nadhani unajua kuwa nchi hii ina majimbo zaidi ya 300 sasa sijui izo takwimu zako ni ndoto za wapi ndugu.
 
Naona unataka wakupige mawe siyo! VUTA-NKUVUTE kuna watu watapandwa na jazba alafu ushindwe kujitetea ? Unajua kuna watu kama Mzee Mwanakijiji wanahasira na EDO kushinda ?
 
Last edited by a moderator:
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mkuu unafuatilia matokeo rasmi ya TUME? Pamoja na wapinzani kuchukua baadhi ya majimbo CCM inaongoza kwa mbali kwenye majimbo na uraisi.
 
Pengine wanachungulia kwanza wajue kama UKAWA walibaki na backup baada ya kuwahujumu jana au kama wanazo nakala zote za mawakala kutoka vituoni. Wakishajua ni takwimu zipi UKAWA wamewaharibia, basi waendelee.

Wamenichukiza sana lakini Mungu atawashughulikia tu!
 
Ninazo habari nyingi nyeti za kimatokeo. Lakini, naheshimu Tume ya Taifa ya Uchaguzi na hivyo kuiachia kazi yake hiyo ya kikatiba na kisheria. Kazi ya kutangaza matokeo. Kwa sura niionayo, CCM iko njiani kuondoka madarakani.

Madaraka hunoga pale ambapo kuna udhibiti wa kutosha wa mihimili miwili ya dola: Serikali na Bunge. Pia, madaraka hunoga pale ambapo Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zinatawaliwa na chama kimoja: CCM. Mwaka huu jambo hilo haliwezekani.

Tayari,kuna Manispaa, Miji, na Miji Midogo imeshaangukia mikononi mwa wapinzani. Inakuwa chini ya utawala wa vyama vya upinzani. CCM inapoteza ladha ya kuitawala Tanzania kwa mapana yake. yaweza kupata hili na lile lakini itakosa yale.

Mwaka huu nimeamini na kujionea jinsi chama kinavyozaliwa,kukua na kuelekea kufa. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa ingawa ndio ukweli wenyewe. Nasema tena kuwa CCM inapoteza kwa kasi itiayo wasiwasi utawala wake hapa Tanzania.

Kama chama, tutafurahia kitakachopatikana lakini tutapaswa kujitazama upya na kujirekebisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee Tupatupa,

Hakika umesema ukweli tena ukweli mtupu.
Kama CCM safari hii ataingia Ikulu itakuwa ni kwa kulazimisha tu. Huu ni mwisho wa CCM na kama itakufa ni moja kwa moja kama KANU ya Kenya, haitaweza kunyanyuka tena. Period.
 
Mkuu unafuatilia matokeo rasmi ya TUME? Pamoja na wapinzani kuchukua baadhi ya majimbo CCM inaongoza kwa mbali kwenye majimbo na uraisi.

We unamdanganya nani unadhani sis hatukurekodi vituoni mwetu!?
 
Nakuhakikishia Ukawa kwa pamoja hawatafikisha hata majimbo 60 ya ubunge. Nadhani unajua kuwa nchi hii ina majimbo zaidi ya 300 sasa sijui izo takwimu zako ni ndoto za wapi ndugu.

Pengine ni UKAWA nyingine, i am team UKAWA lakini nina uhakika wa haya;

1. CCM itapitisha matokeo ya Magufuli kama Rais(kwa lazima, ambayo itagharimu Serikali na Chama cha Mapinduzi)
2. UKAWA itakuwa na wawakilishi(wabunge) wengi sana kuliko CCM.
3. Viongozi kadhaa wa Serikali watashtakiwa ICC.
4. Baadhi ya viongozi waliotangazwa na Tume kupumzishwa( "rest in peace).
5. Mpasuko mkubwa katika vyombo vya usalama.
6. Kule kujivua gamba hasa(ndipo kutatokea sasa Reformation ya chama, na hasa baada ya Baraza la Mawaziri kuvunjwa hii ilikuwa planned yaani kuwa_contain Mawaziri wanaotaka kuhama kwa nyadhifa zao ni bora kuliko wao kuondoka Baraza likivunjwa kabla ya uchaguzi, same as how it was kwa mahakama kutoa shauri la kulinda kura siku ya ijumaa mchana sana na hivyo hata rufaa ingekatwa isingeweza kusikilizwa jumatatu kwani uchaguzi ulipaswa kufanyika jumapili.)


Tanzania tunayoitaka imewadia(hakuna kuogopana tena).
 
Back
Top Bottom