Habari ya uhakika. 'TANZANIA IMEKOMBOLEWAAAAAAAAAAA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!".
Watanzania wote, ninaomba kuanzia leo TUINU VICHWA NA KUPAZA SAUTI ZA SHANGWE TUKIMSHUKURU MUNGU KWA KABILA ZETU ZOTE, KOO ZETU, NDIMI ZETU, MIOYO YETU NA UMOJA WETU WOTE!.
tushone mavazi maalumu kwa sababu UKOMBOZI WETU UKO TAYARI. Ndani ya siku chache zijazo Tanzania mpya inazaliwa ambayo kweli na haki vitamililki ya kutawala. Kama jinsi Mungu aishivyo, mfalme dharimu anakwenda kuanguka kwa kishindo kikubwa na kuishangaza dunia.
Haya mnayoyaona Ninaomba tushone mavazi yenye rangi za light blue bahari, Nyekundu, Nyeupe, Nyeusi, au Rangi ya Ukakamavu wa kishujaa!.
Mungu ameikomboa Tanzania na kuanzia sasa sisi na Waatoto wetu tuko huru ndani ya nchi yetu!
Natangaza Ushindi kwa Watanzania.
Ninatangaza tumaini jipya kwa waliokata tamaa.
Ninatangaza mafanikio na maendeleo kwa Watanzania wote katika kasi isiyo kifanni.
NINATAMKA IBADA TAKATIFU KWA MUNGU WA MIUNGU NDANI YA TAIFA TEULE LA TANZANIA KUANZIA SASA!.
UTUKUFU UNA MUNGU WETU SASA NA HATA MILELE YOTE!.