Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Hodi!Baada ya kuona kumbe hata wachungaji na mashehe wapo humu jukwaani,cna shaka nimeamua kujiunga rasmi mnipokee.Asant
Sasa wewe Benokolongokonongose una matatizo, unajikaribishaje mwenyewe,umeamka na mapuya nini?Karibu sana cha msingi ni kuielewa mada iliyopo na kujua unachangia jinsi gani.Popote ulipo tunakufikia.
Sasa wewe Benokolongokonongose una matatizo, unajikaribishaje mwenyewe,umeamka na mapuya nini?
Janja ya nyani kula mahindi bichi!Tatizo la kuwa na multiple IDs.
Hodi!Baada ya kuona kumbe hata wachungaji na mashehe wapo humu jukwaani,cna shaka nimeamua kujiunga rasmi mnipokee.Asant
Janja ya nyani kula mahindi bichi!
Kusa gundua!
mbona unajikaribisha??Karibu sana cha msingi ni kuielewa mada iliyopo na kujua unachangia jinsi gani.Popote ulipo tunakufikia.
yani hlo ni zaid ya sentensi!!!! hongera yake mwaya!!Aiseeee!!!!!
Pamoja na kuwa huu si uwanda wa kujitambulisha , lakini umenipiku mzee!
Masopakyindi nimetamba kwa muda kabla wanajamii hawajajua kuliquote hilo jina,lakini Benokolongokonongose ni kiboko!
Hilo jina ni sentesi tosha!!!!!!!!!!!!!!
Karibu sana
Hahahahaaaa LiverpoolFC siunajua tunatakiwa kuwa na ukarimu kwa wageni wote then baadae ndio mchujo unaanzaMkubwa! Hauna shaka na jina analotumia????
Mmmmmmmmmmmhh!!