Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Naona umeasi na kuachana na Uchungaji ingawa adui yako ni yule yule. Eti nasikia Siku hizi Malaria Sugu anaitwa Tume ya Katiba!!! Back to the topic Jina hili inaonekana linatoka huko kwa kina Ravalomanana na Rajoelina. Huko Madagascar kwa kina Razadranilinilina na Didier Rastiraka. Karibu Mgenikuwa Makini Kuna kundi la uamsho