Nimeachwa tena

Nimeachwa tena

UMEACHWA TENA!!!
Ni mara ya ngap unaachwa?(Inaonekana ni mara nyingi)

Umeachwa na mwanume huyo huyo au wanaume tofauti?

Kuna aliyekuuliza hayo maswali ukaruka viunzu
 
UMEACHWA TENA!!!
Ni mara ya ngap unaachwa?(Inaonekana ni mara nyingi)

Umeachwa na mwanume huyo huyo au wanaume tofauti?

Kuna aliyekuuliza hayo maswali ukaruka viunzu
Mbona nilijibu mkuu, kabla ya kuleta huu uzi humu niliwahi kuleta uzi kama huu kama miaka 5au6 iliyopita na tabia za humu huwa mnapenda sana kufukunyua kwaiyo niliandika hivyo just in case mkienda kunisakua ckua na maana nyingine kabisaa....
 
Ungekua hujazalishwa,ningekupa hifadhi ya kudumu kwangu.
Hilo jamaa lako nalo lina utoto balaa.
 
Pole,na hilo virginity jina badili andika virginity iliyobanduliwa au virginity ola kuanzia sasa.
 
Usijali dada, hauko peke yako. Hii hapa ya kwangu ya leo leo. Nimeona taaabu hata kumjibu, nimefuta tu namba. Watu tupo billion 7 na sehemu hapa duniani, nahangaika na 1, kweli?

“Stokaa nkaja kwako wala kuonana na wewe ni sameh kwa hilo nilikwambia uninunulie cm ukakataa kabisa , na naonaga nakujaga kwako unanichukulia kama maraya tu pamoja na yote nakujituma kote kwenye mahusiano hujawah kuiona thamani yangu hata sk moja”
Mnunulie simu mwenzio...
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Chumvi ikiisha ladha hakuna kiwatilifu chochote cha kuweza kuirudisha.. Hisia ni kama uhai zikifa hazifufuki tena.. Vumilia upite kipindi hiki kwa amani UTASIMAMA TENA! UTAPENDWA TENA!
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Umesema hapendi mtoko
 
Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
Umeandika mambo mengi kwa kusikiliza upande mmoja tu. Kwenye mahusiano usisikilize upande mmoja sikiliza pande zote mbili ndio utoe maamuzi. Hakuna mwanaume anayeweza kumwacha mwanamke katika situation aliyotoa mtoa mada kuna mengi sana nyuma ya pazia naamini hayajasemwa. Hatuna uwezo wa kumsikiliza mwanaume lakini story hii imewekwa kutushawishi tu tukae upande wa mwanamke ila kiuhalisia demu katupanga na hapa hatapata sululu ya jambo lake
 
Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
Ushauri mbovu kabisaa huu
 
Tatzo lenu mnataka 50/50 unaambiwa rud nyumban unakaid labda jamaa alikuwa anataka kuchakata ukamlaza wima km watchman unajua shida anayopata mwanaume ikiwa anataka kuchakata na akakosa mbususu tena kisa sherehe kwendraaa amna namna
Hahahaaa kbsaa wanawake wana shida sanaaa ,ila huyo dada ni jeuri tuu hakuna kingine kwanza kasema sherehe ilikuwa jirani tuu na kwa nn asingeenda kumsikiliza mume , mume ana nafasi kubwa sanaaa sasa alithamini harusi kuliko kupeleka funguo kwa mume ,UJINGA
 
Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
NAKAZIA
na uzi ufungwe
Kakuchoka na nyie wanawake pigeni kazi msitegemee wanaume
 
We sema umeachwa kiutaniutani Kuna wazee wa kimasihara humu balaa😀😀
Hili jambo serious, nimepigwa chini kweli 😔 nipo nadraft vigezo nizame love connect kutafuta ubavu tena sijui ntapata ubavu au ndio ntapata mkia....muniombee 🙂
 
Hili jambo serious, nimepigwa chini kweli 😔 nipo nadraft vigezo nizame love connect kutafuta ubavu tena sijui ntapata ubavu au ndio ntapata mkia....muniombee 🙂
Mi mwenyewe natafuta jiko lakini linalotumia mkaa kidogo tunaweza kuanzia hapo tukaungaunga maisha yaliyobaki 😅
 
Chumvi ikiisha ladha hakuna kiwatilifu chochote cha kuweza kuirudisha.. Hisia ni kama uhai zikifa hazifufuki tena.. Vumilia upite kipindi hiki kwa amani UTASIMAMA TENA! UTAPENDWA TENA!
Asante kaka
 
Mi mwenyewe natafuta jiko lakini linalotumia mkaa kidogo tunaweza kuanzia hapo tukaungaunga maisha yaliyobaki 😅
Ntaangalia kwenye first draft ya vigezo kama unafit 😁😁😁 tembea tembea love connect unaweza kuokota mke asubuhi asubuhi saa kumi watu wakawasha ubani na kula kalmat chai kwenye mikeka
 
Back
Top Bottom