Nimeachwa tena

Nimeachwa tena

Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, niMWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
Wewe ni MWANAUME?then unajisikiaje kuandika shit kumuhusu mwanaume mwenzako kama ulivyoandika kwa herufi kubwa hapo juu?

By the way kwa hilo gazette huko PM kwenu mmefikia wapi!?mmeshaanza kutumiana emoji za LOVE au bado maana kwa mipasho hiyo nahisi wiki huna utakuwa ushaopoa goma.
 
U
Wewe ni MWANAUME?then unajisikiaje kuandika shit kumuhusu mwanaume mwenzako kama ulivyoandika kwa herufi kubwa hapo juu?

By the way kwa hilo gazette huko PM kwenu mmefikia wapi!?mmeshaanza kutumiana emoji za LOVE au bado maana kwa mipasho hiyo nahisi wiki huna utakuwa ushaopoa goma.


Ujinga Mtupu , huna akili, bichwa lako Lina matope ya kuvukia barabara tu .

Mimi ni Mwanaume nimeoa Mwanamke mzuriii mzuriiii mno, aliyenizalia watoto wazuriii mnoooo...

Kwa hiyo kwakua ni Mwanaume, na kwakua Kuna Mwanaume kafanya Maujinga, basi niongee maujinga ya kua upande wa Mwanaume mwenzangu??.

Mjinga mmoja wee, YOU ARE NOT SUPPOSED TO BE SO BLIND WITH YOUR MANHOOD THAT YOU CAN'T FACE THE REALITY ... BLACK IS BLACK, WHITE IS WHITE AND WRONG IS WRONG .


Wee ni Mmoja ya Wanaume wadhaifu, mbumbumbu, waoga wakila kitu , mnaopenda Wanawake wawasujudu hata kama unamtesa.

Na usikute, Humjali ..anakuvumilia.. Humtunzi...anakuvumilia... Na Kitandani uko Sifurii...anakuvumilia.

Lakini Sasa jeuri na Ukoloni ndo vimewajaa kuficha madhaifu ,ujuha, uzoba, na kushindwa kuwajibika Kwa wanawake zenu

Gubu gubu utadhan Paka aliyebanwa Mkia wake Kwa mlango.




And Yes.... Wanaume wa aina yako, dawa yako ni kukutana na Mwanamke Very independent, financially stable, Open minded, determined , practical, decided , stubborn , educated .... Mamaeeeee nakuhakikishia ATAKUTOA ROHO BILA HATA KUKUGUSA.

Mkitaka Wanawake majuha, Nendeni huko vijijin kwenu ndanindani hukoooo mchukue muwazalishe ,muwaache, ndo wataendelea kuwatafuta sababu Bila wewe hawana Maisha !!.



HUKO PM??? Matope yako kichwan yanakutuma kua ,nilivyoandika, lengo ni kutafuta a PM?.

Well ,, Tunaendelea vizuriiii sanaaa, mtoto kaivaa, yaan tumebakisha kulana, Unaonaje naweee uongezeke Tupige 3SOME , yaaan nawainamisha wote wawili kwenye kitanda ki-doggie doggie , weee nakupakia KY nakula hiyo Ndogo .


Au unasemaje baby gay ?
 
U


Ujinga Mtupu , huna akili, bichwa lako Lina matope ya kuvukia barabara tu .

Mimi ni Mwanaume nimeoa Mwanamke mzuriii mzuriiii mno, aliyenizalia watoto wazuriii mnoooo...

Kwa hiyo kwakua ni Mwanaume, na kwakua Kuna Mwanaume kafanya Maujinga, basi niongee maujinga ya kua upande wa Mwanaume mwenzangu??.

Mjinga mmoja wee, YOU ARE NOT SUPPOSED TO BE SO BLIND WITH YOUR MANHOOD THAT YOU CAN'T FACE THE REALITY ... BLACK IS BLACK, WHITE IS WHITE AND WRONG IS WRONG .


Wee ni Mmoja ya Wanaume wadhaifu, mbumbumbu, waoga wakila kitu , mnaopenda Wanawake wawasujudu hata kama unamtesa.

Na usikute, Humjali ..anakuvumilia.. Humtunzi...anakuvumilia... Na Kitandani uko Sifurii...anakuvumilia.

Lakini Sasa jeuri na Ukoloni ndo vimewajaa kuficha madhaifu ,ujuha, uzoba, na kushindwa kuwajibika Kwa wanawake zenu

Gubu gubu utadhan Paka aliyebanwa Mkia wake Kwa mlango.




And Yes.... Wanaume wa aina yako, dawa yako ni kukutana na Mwanamke Very independent, financially stable, Open minded, determined , practical, decided , stubborn , educated .... Mamaeeeee nakuhakikishia ATAKUTOA ROHO BILA HATA KUKUGUSA.

Mkitaka Wanawake majuha, Nendeni huko vijijin kwenu ndanindani hukoooo mchukue muwazalishe ,muwaache, ndo wataendelea kuwatafuta sababu Bila wewe hawana Maisha !!.



HUKO PM??? Matope yako kichwan yanakutuma kua ,nilivyoandika, lengo ni kutafuta a PM?.

Well ,, Tunaendelea vizuriiii sanaaa, mtoto kaivaa, yaan tumebakisha kulana, Unaonaje naweee uongezeke Tupige 3SOME , yaaan nawainamisha wote wawili kwenye kitanda ki-doggie doggie , weee nakupakia KY nakula hiyo Ndogo .


Au unasemaje baby gay ?
Rubbish!!
 
Kiukweli nilishawahi kuleta uzi wa kuachwa humu sema ni mda mrefu sana ndio maana nikaandika NIMEACHWA Tena.
Hii ni platiform ambayo huwa inanisaidia sana nnapokwama kimahusiano.

Nilitaka nisiandike ila umenigusa ngoja nikumbie...

Kwanza nahisi kuna vitu unaficha huvioni kua ni tatizo lakini ndo tatizo lenyewe.

Pili ye kukuruhusu bila ye kuwepo kwenye iyo harusi unaonesha hakupenda tu kubishana na wewe na alikua hamanishi kua huende sema we hukujiongeza kwa ilo unachukulia mambo simple kumbe ni serius.

Tatu nahisi umeshamchosha na vimambo mambo vingine ndo maana alikua anakusubilia tu na swala la mwanaume wako kulala ndani usiku wa saa6 we upo kwenye harusi inaonesha kiasi gani we sio muelewa kabisa na hutujui wanaume vizuri saikologia yetu na yamahusiano

Nne hakuna mwanaume baunsa mbele ya mwanamke anayejitambua(simaniishi kua kiburi) na anayejua nafasi yake kama mke nakuutumia vizuri huanamke wake.

USHAURI

Kwaushauri tuu ni kua usipende wanaume ovyo ovyo sio kila mwanaume anayekutongoza anakupenda, af kabla yakufikia hatua yakuzaa na mtu kwanza jiulize anaweza kukuhudumia au utawezaje kujihudumia pale mwanaume apofanya jukum lake bas usimkwaze na kuhitaji viela vidogodogo kos utakuja kusema unasimagwa usipotumia akili kuipata ela ya mwanaume ili kukeep uzuri wako na kutonyesha kumtegemea sana mwanaume.

Na hapo hua mnafeli sana kabla yakuingia kwenye ndoa jiulize utakua unapataje ela za kujistiri na vitu vidogo vidogo si wanaume tunapenda vitu vyenye hadhi kutuzidi na ambavyo ni ndoto zetu kwaiyo jitahidi kua mwanamke wa ndoto yake huone kama izo out ataruhusu huende mwenyewe lazima atake mwende wote(UNAKAA NA MWANAUME UNAMWONESHA KESHAKUPATA HUNA UJANJA NA HAUNA SWAGA ZOZOTE TENA KWENYE NDOA!) kilasiku mfanye haamini uyu mwanamke nisipomtunza watamuiba mixer wivu ndo maana siwanaume tukibahatisha pisi imesimama afu inajielewa hatufanyi mchezo tunaitunza kweli kweli hataizae watoto kumi na hata ikitokea unaona inadalili za kusaliti anaona kumwacha au kujiua mwenyewe tu hapana watu watafaidi ndo maana unakuta mtu anajiua na pisi yake.

Kajiulize kidogo kwanini ZARI alipendwa na simba na wakati ni mzee ila KIBINTI hamisa alikua akiwekwa onback na matusi juu.

THAMANI YENU WANAWAKE IPO KWENYE TABIA NA MWILI WAKO.

Nakutakia safari njema kwenye mahusiano yajayo.
 
Pole sana kwa changamoto, shida ninayoiona ni kwenye mawasiliano na kama ulivyosema kuwa umeishi naye miaka minne ni matumaini yangu kuwa unamfahamu vizurii yale anayoyapenda na asiyoyapenda, na wewe ndio unayejua zaidi na umeeleza Kwa upande wako. Saa tano usiku ni muda ambao sherehe nyingi huwa zinaisha kwa mtazamo wangu ungeondoka tu kama ulimwambia sijala naamini kama aliamuru urudi sidhani kama alikuwa amedhamiria kwamba ulale na njaa, pili wewe ulitumia nafasi hiyo kama mtoko ukilazimisha na yeye awepo kitu ambacho kwake hakikuwa priority, pamoja na hayo naamini yapi mengine ambayo haujayasema au tayari alikuwa hisia za kuwa tayari unatoka nje ya ndoa.

Lakini jambo la kujiuliza ni kuhusu hiyo ndoa, wazazi wako walipokuona hapo nyumbani hawajataka kuwaita Ili kujua shida ni nini? Au amewagomea hata wazazi wako? Au lah wewe haujawaeleza ndugu zake wazazi au wakubwa zake kama wapo ili aseme shida ni sherehe au ni kitu gani, Maana nimeona jitihada ulizozifanya ni wewe kupiga simu. Sisi Kwa taratibu zetu usingerudi nyumbani bila kimemo, lazima wazazi wajue umeenda Kwa Heri au Shari!! Ndio Maana nimeuliza kuhusu hiyo ndoa
Angalau ingekua ndoa lakini hajulikani hata kwetu
 
Sitegemei kukuona ukisema wewe siku hiyo ulilewa na yeye hakulewa,ok kwanini alipokwambia “TUONDOKE NYUMBANI” wewe ulimkatalia?ulikuwa na lengo gani?ulipoolewa nae si ulimuahidi kumuheshimu sasa kwanini ukashindwa kufanya hilo?Na hii kwa sababu ilikuwa ni sherehe lazima alikwambia hadharani ndani ya ukumbi wewe ukakataa mbele ya wanaume wenzake,ulimtia unyonge kwamba anaishi na mtu asiyemsikiliza.

Huo ni ukaidi na obviously alikuwa na experience ya ukaidi wako hata hapo kabla so conclusion yangu ni“KILICHOTOKEA UNAKISTAHILI”

NB;ninaendika hapa naishi na mwenzako mwaka wa kumi huu so nawajua nje ndani jinsi mnavyo-behave mkiwa kwenye kadamnasi na mkiwa chumbani.
Umenigusa. Kweli ilikua mbele ya rafkiake nilimwambia ntarudi badae. Kweli kwenye maisha Kuna msemo wa 1 mistake 1 goal vile ambavyo nilizani labda ataielewa furaha yangu ya mtoko kumbe yy aliona nimemdharirisha. Nimeelewa na nitakubali matokeo sasa
 
Nilitaka nisiandike ila umenigusa ngoja nikumbie...

Kwanza nahisi kuna vitu unaficha huvioni kua ni tatizo lakini ndo tatizo lenyewe.

Pili ye kukuruhusu bila ye kuwepo kwenye iyo harusi unaonesha hakupenda tu kubishana na wewe na alikua hamanishi kua huende sema we hukujiongeza kwa ilo unachukulia mambo simple kumbe ni serius.

Tatu nahisi umeshamchosha na vimambo mambo vingine ndo maana alikua anakusubilia tu na swala la mwanaume wako kulala ndani usiku wa saa6 we upo kwenye harusi inaonesha kiasi gani we sio muelewa kabisa na hutujui wanaume vizuri saikologia yetu na yamahusiano

Nne hakuna mwanaume baunsa mbele ya mwanamke anayejitambua(simaniishi kua kiburi) na anayejua nafasi yake kama mke nakuutumia vizuri huanamke wake.

USHAURI

Kwaushauri tuu ni kua usipende wanaume ovyo ovyo sio kila mwanaume anayekutongoza anakupenda, af kabla yakufikia hatua yakuzaa na mtu kwanza jiulize anaweza kukuhudumia au utawezaje kujihudumia pale mwanaume apofanya jukum lake bas usimkwaze na kuhitaji viela vidogodogo kos utakuja kusema unasimagwa usipotumia akili kuipata ela ya mwanaume ili kukeep uzuri wako na kutonyesha kumtegemea sana mwanaume.

Na hapo hua mnafeli sana kabla yakuingia kwenye ndoa jiulize utakua unapataje ela za kujistiri na vitu vidogo vidogo si wanaume tunapenda vitu vyenye hadhi kutuzidi na ambavyo ni ndoto zetu kwaiyo jitahidi kua mwanamke wa ndoto yake huone kama izo out ataruhusu huende mwenyewe lazima atake mwende wote(UNAKAA NA MWANAUME UNAMWONESHA KESHAKUPATA HUNA UJANJA NA HAUNA SWAGA ZOZOTE TENA KWENYE NDOA!) kilasiku mfanye haamini uyu mwanamke nisipomtunza watamuiba mixer wivu ndo maana siwanaume tukibahatisha pisi imesimama afu inajielewa hatufanyi mchezo tunaitunza kweli kweli hataizae watoto kumi na hata ikitokea unaona inadalili za kusaliti anaona kumwacha au kujiua mwenyewe tu hapana watu watafaidi ndo maana unakuta mtu anajiua na pisi yake.

Kajiulize kidogo kwanini ZARI alipendwa na simba na wakati ni mzee ila KIBINTI hamisa alikua akiwekwa onback na matusi juu.

THAMANI YENU WANAWAKE IPO KWENYE TABIA NA MWILI WAKO.

Nakutakia safari njema kwenye mahusiano yajayo.
Nimejifunza bro
 
Alitaka kukutimua ila sababu aliyoikosa kaipatia hapo
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.

Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?

Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke

Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.

Hii ndo cost you kuwa cheap to a Man,, ni vyema kuwa ba mahusiano, ila wanaume Sio kila kitu na ni muhimu sana Dada zetu muelewe.

1. Huyo Kaka alikuwa Hakutaki hana hisia na wewe na amekuonyesha mara nyingi ila wewe tu hukutaka kuelewa.

2. Nimeachwa tena? This look like a trend, check your character closely, lazima una vitabia irritating tu.

3. Kila mwanaume at some stage anapenda kwa ukweli kabisa, ngumu sana kwa mwanaume anayependa Kuku great hivyo.

Cha kufanya:

1. Angalia sana tabia zako and closely pata maoni ya na x wako, utajua shida iko wapi.

2. Ondoa utegemezi kwa mwanaume kwa chochote, hisia, makazi, fedha na kila kitu.

3. Make sure you fall in love natural, do not force to heal your pain, no, fall natural to a man!
 
Lazima story ya upande wa pili ipatikane, hizi harusi, kitchen party, saloon zile za nyumbani kwa mtu bila kusahau Safari za kulala kwa mama mdogo au shangazi au kwa rafiki kipenzi zinatumika Sana siku hizi.

Unahitaji umakini Kuna wanawake mafia wanatumia hii loop vizuri Sana.

Mimi mke wangu halali hata siku moja kwa rafiki ambaye hajaolewa na akilala kwa rafiki aliyeolewa lazima huyo rafiki yake na mume wake wote niongee nao, yaani niwasalimie na kuwaomba alale hapo kwa inconvenience.

Halafu mume akikuambia Rudi nyumbani Rudi tu inampa nguvu sana. Hakuna kitu inawakera wanaume kama akikuambia Rudi halafu ukaendelea na shughuli zako. Wengi wanatafsiri ni dharau, na mwanaume akianza kukwambia unamdharau ujue umekalia kuti kavu.
Key word ni DHARAU.

Huyu dada ameambiwa arudi nyumbani akaona sherehe ni big deal. Angerudi aepushe mengine.

Japo mwamba nae amezidisha. Hiyo sio sababu pekee ya kumuacha mwanamke.
 
Back
Top Bottom