Nimeachwa tena

Nimeachwa tena

Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Kwani kulikua na ulazima sana wa wewe kula chakula cha sherehe?
 
Nilikua na 2000 pekee. Nauli ya kumpelekea funguo then nirudi ukimbini isingetosha hapo mkuu. Kwenye sherehe nilihudhuria na rafiki yangu hivyo nilimjuza usiku huo ni nini kinaendelea na nilimuomba Basi kabla hajaenda kwake usiku ule tupite kwangu kwanza ili tugonge mlango kwanza nikiingia Basi nayy aondoke tukagonga saana lkn hakufungua ucku huo ndipo ikabidi twende wote..
Huyu bwana Kuna cku pia nilienda kwenye sherehe nikarudi saa1 lkn alinipiga akinituhum kuchelewa
Kwanini unapenda kutoka toka wakati mwenzawako hapendi kutoka toka? Na kwenye kutafuta mwenza lazima uangalie je mwenzangu anapenda kutoka toka usiku ili muendane sasa wewe unapenda kutoka kujichanganya yeye mwenzako yupo tofauti hapendi" lakini na wewe hutaki kucheza mfumo anao upenda tatizo linaanza hapo, Wanaume tupo tofauti wengine hawapendi mikusanyiko ya watu wengi na wengine wanapenda mikusanyiko.
 
Mtu akionyesha hakutaki kaa pembeni. Kujifanya king'ang'anizi utaonyeshwa dharau hadi ukome. Kama unaamini huna makosa piga kimya akikutaka atakufata.
Huyo hamuendani na kama unampenda sana jifanye boya maisha yasonge.
 
Kwanini unapenda kutoka toka wakati mwenzawako hapendi kutoka toka? Na kwenye kutafuta mwenza lazima uangalie je mwenzangu anapenda kutoka toka usiku ili muendane sasa wewe unapenda kutoka kujichanganya yeye mwenzako yupo tofauti hapendi" lakini na wewe hutaki kucheza mfumo anao upenda tatizo linaanza hapo, Wanaume tupo tofauti wengine hawapendi mikusanyiko ya watu wengi na wengine wanapenda mikusanyiko.
Hapo umenena. Unakuta yeye mtu wa club, bar, outings hafu wewe mtu wa ndani sana. Lazima mtapishana.
 
pole mtu akikuchoka hata sababu ya kijinga atakuacha,kitakacho kusaidia ni kukubali kuachika na kuendelea na maisha mengine,lakini kukuchoka pia inategemea eidha we ndo umesababisha akuchoke
Familia zina mengi jamani
 
Tatzo lenu mnataka 50/50 unaambiwa rud nyumban unakaid labda jamaa alikuwa anataka kuchakata ukamlaza wima km watchman unajua shida anayopata mwanaume ikiwa anataka kuchakata na akakosa mbususu tena kisa sherehe kwendraaa amna namna
maelezo ya upande mmoja huwezi kuyajua uwenda mwanamke naye ni mtu wa masherehe
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Unailazimishia nfoa nini ... mbona wanaume ambao hawajaoa bado ni wengi!
 
Muandiko wangu sio mzuri kaka, nikweli hatujaanza kuzinguana leo. Cc hatuna ndoa tulikua tunaishi tu. Nilivyokuja nyumbani ckusema ukweli niliwaambia tu nimekuja kusalimia. Na sijawaambia mpaka sasa nafkiria namna ya kuwaambia ukweli na hata wakijua hakunawakutukalisha maana mwanaume hajafata protocol
Mpaka nimekuja hapa naumia kwa kuachwa kwani ckutegemea kuachwa nilijua tutasolve maisha yaendelee
Hajakuoa na hajakulipia mahari mnaishi wote....wazazi wamelifumbia tu macho ???
Hamjaanza kuzinguana leo....anafikia hatua ya kukulaza nje unaona sawa???
Na kuna sehemu umeandika ushawahi enda sherehe ukarudi saa moja jioni akakupiga.....
Kwa haraka haraka nadhani wewe ndio tatizo.
Kuna namna mtu wako anataka u behave na wewe una behave tofauti. Kwanini usifuate anachotaka? Ni lazima kwenda kwenye sherehe kama yeye hataki??
Nafikiri ishi nae vizuri msome tabia yake na ufanye vile anavyopenda kuna kitu kinaitwa ku compromise....kuna baadhi ya mambo huna budi kuyaacha kwa ajili ya afya ya mahusiano yako.Pia moja ya sifa ya mke ni kua submissive ( ila reasonably submissive usiwe mtumwa) Issue za ukatili zikizidi kama kupigwa , kulazwa nje etc chukua hatua hapaswi kukufanyia hayo.
Pole sana I hope mtayamaliza.
 
Usijali dada, hauko peke yako. Hii hapa ya kwangu ya leo leo. Nimeona taaabu hata kumjibu, nimefuta tu namba. Watu tupo billion 7 na sehemu hapa duniani, nahangaika na 1, kweli?

“Stokaa nkaja kwako wala kuonana na wewe ni sameh kwa hilo nilikwambia uninunulie cm ukakataa kabisa , na naonaga nakujaga kwako unanichukulia kama maraya tu pamoja na yote nakujituma kote kwenye mahusiano hujawah kuiona thamani yangu hata sk moja”
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Pole kwa yote yaliyokupata.

Kosa mojawapo ulilofanya ni KUKOSA UTII kwa mumeo. Ulitakiwa utii agizo lake la kurudi nyumbani/kumpelekea ufunguo. Wewe ukathamini sherehe kuliko mahusiano.

Ukipendwa na mume, basi, rudisha utii kwa mumeo hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Wewe ulifanya ukaidi. Ukiwa mkaidi huwezi kufaidi mema ya nchi.

Kichwa cha habari kinasema umeachwa tena. Je, hii ni mara ya ngapi unaachwa? Je, hizo ulizoachwa ( kama zipo), uliachwa na wanaume wengine tofauti na huyu wa sasa na kwa sababu zipi?
Endapo umeachika mara kadhaa, basi itabi ujitathmini. Huwenda wewe ndiye tatizo.
 
Back
Top Bottom