Nimeachwa tena

Nimeachwa tena

hapo hamna hata ulichokosea labda tu kuwe na sababu nyingine ambayo hatuijui
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.

Alikua anakutafutia sababu na wewe ukampa ushirikiano
Utapata atayekufaa na anayekuhitaji wewe tulia
 
Alikupigia simu umpelekee funguo ...kwa maana kwamba yeye hakua nazo. Lakini uliporudi ukakuta amejifungia ndani? Au alivunja kitasa akatengeneza usiku huo huo?
Mimi ndio sijaelewa au wewe ndio haujaeleweka?
Kuna information haijakamilika hapa. Hapa ni kunywa mtori tu, nyama ziko chini
 
Umejishusha sana ndio maana anakuona ndezi, mvungie endelea na life lako uone kama hatokutafuta
257805daaf92939d660505173296671f.jpg
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli
Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana......

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Hajawahi kukupenda..pole sana
 
Inawezekana ni mwendelezo wa dharau hii ni stori ya upande mmoja .
-Inawezekana mtoto aliachwa kwa jirani Tena usiku kisa arusi
-Inawezekana machale yamemcheza tu mtu na mke wake bwana
.Wewe umeoa?
Lazima story ya upande wa pili ipatikane, hizi harusi, kitchen party, saloon zile za nyumbani kwa mtu bila kusahau Safari za kulala kwa mama mdogo au shangazi au kwa rafiki kipenzi zinatumika Sana siku hizi.

Unahitaji umakini Kuna wanawake mafia wanatumia hii loop vizuri Sana.

Mimi mke wangu halali hata siku moja kwa rafiki ambaye hajaolewa na akilala kwa rafiki aliyeolewa lazima huyo rafiki yake na mume wake wote niongee nao, yaani niwasalimie na kuwaomba alale hapo kwa inconvenience.

Halafu mume akikuambia Rudi nyumbani Rudi tu inampa nguvu sana. Hakuna kitu inawakera wanaume kama akikuambia Rudi halafu ukaendelea na shughuli zako. Wengi wanatafsiri ni dharau, na mwanaume akianza kukwambia unamdharau ujue umekalia kuti kavu.
 
Usikute mume nae anacomment humu humu.

Hafu anashikilia Ile kauli ya vijana msioe.
 
Wewe utakuwa muongo muongo.... Hukuwa na nauli , nauli ya kwenda kwa rafiki yako ulitoa wapi?
Mtoto mdogo ulienda naye kwenye harusi au mtoto uliibuka naye wapi ilihali hujafunguliwa mlango.

Pambana tu na hali yako- sometimes mnakuwa na mambo ya kiwaki sana
 
Hpo kukupa ushauri Lazima tumsikilize na uyo bwana Chabukati hatuwezi kutoa hukumu au ushauri bila maelezo ya upande wa pili
 
Back
Top Bottom