Nimeachwa tena

Nimeachwa tena

Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
😂😂😂Kha!
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.

Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?

Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke

Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Ulimakafu Mshana Jr Soma Tena Matola Elli mjingamimi Utingo bagamoyo Carrasco putin NGOMEKONGWE2021 OSEFUKANY Asamwa Matola Mzee Wa Kazi Chafu delako Get Rich fundi bishoo Tajiri Kichwa
 
Alikuwa na lake jambo, sijaona hoja hapo ya kuachana.
Huyu hawezi kuandika yote kwa sababu hapa amekuja hasa kutafuta namna ya ku-deal na huyu aliyemfanyia hivyo Ila tujue kitu kimoja.............

Kama mwanaume hapendi kutoka toka hasa kwenda kwenye hizi sherehe ambako pombe huwa ni za bure jua huyo hatumii kilevi na upo uwezekano wa huyu mama kutumia kilevi na alipoambiwa ampelekee funguo akamjibu shit kwa sababu yupo na rafiki zake na pombe imeshamuaminisha na yeye ana nguvu asibabaishwe.

Sioni bado logic kwamba mtu hataki kwenda kwenye sherehe anakwambia niletee funguo na ukumbi haupo mbali wewe kumpelekea hutaki unamwambia njoo zifate anakuja anakaa hayuko comfortable anakwambia tuondoke sometime pombe zake zikamtuma akampa tena shit hapo hapo mbele ya watu then tutegemee nini?
 
Huyu hawezi kuandika yote kwa sababu hapa amekuja hasa kutafuta namna ya ku-deal na huyu aliyemfanyia hivyo Ila tujue kitu kimoja.............

Kama mwanaume hapendi kutoka toka hasa kwenda kwenye hizi sherehe ambako pombe huwa ni za bure jua huyo hatumii kilevi na upo uwezekano wa huyu mama kutumia kilevi na alipoambiwa ampelekee funguo akamjibu shit kwa sababu yupo na rafiki zake na pombe imeshamuaminisha na yeye ana nguvu asibabaishwe,siioni bado logic kwamba mtu hataki kwenda kwenye sherehe anakwambia niletee funguo na ukumbi haupo mbali wewe kumpelekea hutaki unamwambia njoo zifate anakuja anakaa hayuko comfortable anakwambia tuondoke sometime pombe zake zikamtuma akampa tena shit hapo hapo mbele ya watu then tutegemee nini?
Mimi sio mlevi na sikunywa bia, alielewa ckuiyo niyy ndie alilewa
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.

Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?

Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke

Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Pole sana kwa changamoto, shida ninayoiona ni kwenye mawasiliano na kama ulivyosema kuwa umeishi naye miaka minne ni matumaini yangu kuwa unamfahamu vizurii yale anayoyapenda na asiyoyapenda, na wewe ndio unayejua zaidi na umeeleza Kwa upande wako. Saa tano usiku ni muda ambao sherehe nyingi huwa zinaisha kwa mtazamo wangu ungeondoka tu kama ulimwambia sijala naamini kama aliamuru urudi sidhani kama alikuwa amedhamiria kwamba ulale na njaa, pili wewe ulitumia nafasi hiyo kama mtoko ukilazimisha na yeye awepo kitu ambacho kwake hakikuwa priority, pamoja na hayo naamini yapi mengine ambayo haujayasema au tayari alikuwa hisia za kuwa tayari unatoka nje ya ndoa.

Lakini jambo la kujiuliza ni kuhusu hiyo ndoa, wazazi wako walipokuona hapo nyumbani hawajataka kuwaita Ili kujua shida ni nini? Au amewagomea hata wazazi wako? Au lah wewe haujawaeleza ndugu zake wazazi au wakubwa zake kama wapo ili aseme shida ni sherehe au ni kitu gani, Maana nimeona jitihada ulizozifanya ni wewe kupiga simu. Sisi Kwa taratibu zetu usingerudi nyumbani bila kimemo, lazima wazazi wajue umeenda Kwa Heri au Shari!! Ndio Maana nimeuliza kuhusu hiyo ndoa
 
Mimi sio mlevi na sikunywa bia, alielewa ckuiyo niyy ndie alilewa
Sitegemei kukuona ukisema wewe siku hiyo ulilewa na yeye hakulewa,ok kwanini alipokwambia “TUONDOKE NYUMBANI” wewe ulimkatalia?ulikuwa na lengo gani?ulipoolewa nae si ulimuahidi kumuheshimu sasa kwanini ukashindwa kufanya hilo?Na hii kwa sababu ilikuwa ni sherehe lazima alikwambia hadharani ndani ya ukumbi wewe ukakataa mbele ya wanaume wenzake,ulimtia unyonge kwamba anaishi na mtu asiyemsikiliza.

Huo ni ukaidi na obviously alikuwa na experience ya ukaidi wako hata hapo kabla so conclusion yangu ni“KILICHOTOKEA UNAKISTAHILI”

NB;ninaendika hapa naishi na mwenzako mwaka wa kumi huu so nawajua nje ndani jinsi mnavyo-behave mkiwa kwenye kadamnasi na mkiwa chumbani.
 
Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.

Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.


Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .

Una Mikono?

Una miguu??

Una Akili??

Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..


Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.


Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??

Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
kah nimejikuta nacheka,si kwa mistari hii

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.

Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.

Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.

Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi nae Mimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.

Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweli Niliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.

Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.

Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?

Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda

Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke

Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.

Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?

Naomba muusamehe muandiko wangu.
Alikua anakutafutia sababu tu Hana mapenzi na ww
 
Back
Top Bottom