Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Yani mara ya saba hii mkeka unachanika chwaaaaaa....nkaoge katikati ya bahari sasaDah na wewe umepigwa chini mara nyingi sana....una tatizo gani?
Yani mara ya saba hii mkeka unachanika chwaaaaaa....nkaoge katikati ya bahari sasaDah na wewe umepigwa chini mara nyingi sana....una tatizo gani?
😂😂😂Kha!Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.
Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.
Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .
Una Mikono?
Una miguu??
Una Akili??
Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..
Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.
Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??
Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.
Umecheka sanaKha!
Ushauri kabambe!Umecheka sana
Na wewe umehuelewaUshauri kabambe!
Ulimakafu Mshana Jr Soma Tena Matola Elli mjingamimi Utingo bagamoyo Carrasco putin NGOMEKONGWE2021 OSEFUKANY Asamwa Matola Mzee Wa Kazi Chafu delako Get Rich fundi bishoo Tajiri KichwaJumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.
Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.
Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.
Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi naeMimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.
Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweliNiliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.
Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda
Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.
Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?
Naomba muusamehe muandiko wangu.
Huyu hawezi kuandika yote kwa sababu hapa amekuja hasa kutafuta namna ya ku-deal na huyu aliyemfanyia hivyo Ila tujue kitu kimoja.............Alikuwa na lake jambo, sijaona hoja hapo ya kuachana.
Mimi sio mlevi na sikunywa bia, alielewa ckuiyo niyy ndie alilewaHuyu hawezi kuandika yote kwa sababu hapa amekuja hasa kutafuta namna ya ku-deal na huyu aliyemfanyia hivyo Ila tujue kitu kimoja.............
Kama mwanaume hapendi kutoka toka hasa kwenda kwenye hizi sherehe ambako pombe huwa ni za bure jua huyo hatumii kilevi na upo uwezekano wa huyu mama kutumia kilevi na alipoambiwa ampelekee funguo akamjibu shit kwa sababu yupo na rafiki zake na pombe imeshamuaminisha na yeye ana nguvu asibabaishwe,siioni bado logic kwamba mtu hataki kwenda kwenye sherehe anakwambia niletee funguo na ukumbi haupo mbali wewe kumpelekea hutaki unamwambia njoo zifate anakuja anakaa hayuko comfortable anakwambia tuondoke sometime pombe zake zikamtuma akampa tena shit hapo hapo mbele ya watu then tutegemee nini?
Pole sana kwa changamoto, shida ninayoiona ni kwenye mawasiliano na kama ulivyosema kuwa umeishi naye miaka minne ni matumaini yangu kuwa unamfahamu vizurii yale anayoyapenda na asiyoyapenda, na wewe ndio unayejua zaidi na umeeleza Kwa upande wako. Saa tano usiku ni muda ambao sherehe nyingi huwa zinaisha kwa mtazamo wangu ungeondoka tu kama ulimwambia sijala naamini kama aliamuru urudi sidhani kama alikuwa amedhamiria kwamba ulale na njaa, pili wewe ulitumia nafasi hiyo kama mtoko ukilazimisha na yeye awepo kitu ambacho kwake hakikuwa priority, pamoja na hayo naamini yapi mengine ambayo haujayasema au tayari alikuwa hisia za kuwa tayari unatoka nje ya ndoa.Jumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.
Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.
Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.
Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi naeMimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.
Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweliNiliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.
Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda
Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.
Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?
Naomba muusamehe muandiko wangu.
Eeeeh haya mwanakulitafuta, we kung'ang, ania ule kwenye shughuli kwenu huli?
Mkijua wapenzi wenu wanawapenda kwa kuungaunga msilete mzaha.




Nakuja pm unipe pole personallyPole sana jamani![]()
Huyu mi nimeshtuka yupo kimasilahi zaidi, care zote alifanya kwa malengo, mi nilijaribu kuextend expectation yake na majibu yakatoka mapema.Mnunulie simu mwenzio..
Sitegemei kukuona ukisema wewe siku hiyo ulilewa na yeye hakulewa,ok kwanini alipokwambia “TUONDOKE NYUMBANI” wewe ulimkatalia?ulikuwa na lengo gani?ulipoolewa nae si ulimuahidi kumuheshimu sasa kwanini ukashindwa kufanya hilo?Na hii kwa sababu ilikuwa ni sherehe lazima alikwambia hadharani ndani ya ukumbi wewe ukakataa mbele ya wanaume wenzake,ulimtia unyonge kwamba anaishi na mtu asiyemsikiliza.Mimi sio mlevi na sikunywa bia, alielewa ckuiyo niyy ndie alilewa
Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.
Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.
Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .
Una Mikono?
Una miguu??
Una Akili??
Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..
Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.
Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??
Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.

kah nimejikuta nacheka,si kwa mistari hiiAlikua anakutafutia sababu tu Hana mapenzi na wwJumamosi ya 27/8 nilihudhuria harusi ambayo nilianza kuiombea ruhusa wiki moja kabla, kabla ya kutoka mwenzangu alinijulisha kwamba Hana funguo hivyo badae tuwasiliane ili nimpatie.
Ukumbi haukua mbali sana na nyumbani tunapoishi.
Kwenye mida ya saa5 alinipigia akitaka nimpelekee funguo, nilimuomba aziijie kwani ckuwa na nauli ya ziada na najua acngenipatia, kumbe mwenzangu alitaka nirudi nyumbani mda uleule na kiukweli niligoma nikimwambia hata kula sikua nimekula hivyo kwavile Kuna rafiki yake alikua mwanakamati aje tujumuike pamoja kwani kama ni vinywaji vilikuepo.
Chaajabu nikwamba mwenzangu alikasirika sana kwamimi kutokurudi naeMimi pia nilipata fazaa kwayy kukataa kunisubiria turudi wote kwani ukiachana na sherehe hiyo mwenzangu c mtu anaependa kutoka namimi na siku ile nilitamani angalau abaki namm turudi wote nyumbani.
Baada ya kufika nyumbani Basi alinipigia cm akinitaka nilale hukohuko! Nilizani ni hasira lkn nilivyorudi alikua amenifungia kweliNiliondoka nikaenda kulala kwa rafki yangu. Asubuhi nilirudi nikiwa na rafiki yangu huyo ili athibitishe nililala kwake.
Cha ajabu hakufungua mlango, tuligonga kwa masaa2 huku nikipiga cm yake Ila hakupokea. Nilipita dirishani kwake napo hakutaka kufungua.
Basi niliamua kuondoka Tena na kurudi kujihifazi kwa rafki angu huku nikisubiri asira zake zipungue anipigie.
Ilipita Tena siku nikimpigia hapokei na nikitumia namba yangu nyingine akijua nimm anakata.
J3 nilienda Tena ambapo alifungua lkn baada ya kuingia aliniuliza nataka nini?
Nilimjibu tu kistaarabu nataka baazi ya nguo kwajili ya mtoto (ckupenda reaction yake ikabidi nikapumzike hm) kweli nilichukua nikaondoka kuja kwetu kwa mda
Baada ya wiki2 nimempigia kumjulisha kwamba narudi lkn amegoma nisirudi na ametaka nikamalizie kilicho changu niondoke
Tunamiaka 4 sasa kiukweli bado nilikua namuitaji lkn kuniacha gafla hivyo najickia vbaya sana.
Wanaume na wanawake wenzangu naomba mniambie kosa langu hasa lilikua lipi na je naweza kutatua vip hii changamoto?
Naomba muusamehe muandiko wangu.