tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,200
Ndo maana badae wanadharaulika unakuta MTU anamuacha Kwa matusi na rahana juuuuuu lkn badae anamtaka tenaHahaaaa. Aiseee! Ndio hapo wanapokumbuka shuka kumbe kumeshakucha.

Weee achaAisee
Madame S
Jaman jaman hayo tutayaongea PM ....Wewe si uliniambia hujaoa?
Kweli kabisa pia huwa nakumbuka wale wanaosema kwamba tusifanye maamuzi tukiwa na hasira mana yaliyo mengi yanakuwa sio sahihi.Ndo maana badae wanadharaulika unakuta MTU anamuacha Kwa matusi na rahana juuuuuu lkn badae anamtaka tena![]()
![]()
![]()
![]()
Mbona yako nimadogo ,,Mimi wangu nilimfuma miaka kadhaa ilopita lkn mpaka sasa nipo naye na kanizalia watoto wazuri nawenye afya . sembuse we kutokukuheshimu tu suala ambalo unapaswa umpigishe shule ????? .
Ok sawa hamna neno.Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Changamkia fursaMkuu unatutangazia kuwa wewe sasa ni free agent?
Hao watoto una uhakika ni wa kwako?Mbona yako nimadogo ,,Mimi wangu nilimfuma miaka kadhaa ilopita lkn mpaka sasa nipo naye na kanizalia watoto wazuri nawenye afya . sembuse we kutokukuheshimu tu suala ambalo unapaswa umpigishe shule ????? .
Baada ya kuchukua uamuzi huo yeye aliupokeaje?Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Hahaaa ngoja ajifikirie kidogo mkuu anaweza kubadiligia angani kutokana na ushauri mzuri anaopewa humu.Aisee tafadhali nitumie namba yake, ukisema cha nini, wenzio tunasema tutakipata lini.
Hujui kuwa 'respect is earned and not demanded'.Kumwacha sio suluhisho. Unapaswa kujua kwanini hakuheshimu,vinginevyo hata mpya utakayempata anaweza kutokuheshimu pia.
Umeona eeeehhhhKweli kabisa pia huwa nakumbuka wale wanaosema kwamba tusifanye maamuzi tukiwa na hasira mana yaliyo mengi yanakuwa sio sahihi.