Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Mh! mkuu mbona maelezo machache sana, na kingine mbona hakuna na madai ya upande wa pili? Jipange utuletee taarifa iliyokamilika hapa coz unaweza kukuta wewe ndio balaa na umepata kamchepuko kanakuzuzua.
 
Hiyo staili yako ya kutafuta mwanamke humu Jf nimeielewa sana.............wasubir mkuu watakuja tu Pm
 
Inasikitisha sana...

Uvumilivu umekushinda...


cc: mahondaw

Mtoa mada mngekaa mkaelekezana tu. Mimi nikikosea my king ananielekeza my queen mambo hayaendi hivo mke wangu hapo umekosea sana nami namsikiliza namuelewa na kujishusha pia nakiri kukosa na kuomba radhi


mahondaw wa Smart911
 
mwanamke ukimtunza vyema,ukamjali na kumpenda sidhani atakaa akose kukuheshimu.pengine umepungukiwa na moja kati ya hayo.jichunguze.
 
Mkuu usisikilize maneno ya waja humu ndani, mwanamke ameagizwa amuheshimu mume wake na mume ampende mkewe in return, kama hakuheshimu tafadhali ACHANA NAE na wala usirudi nyuma. mwanamke mwenye dharau ni mbaya sana na hafai hata kuwa mchepuko.
 
Mkuu usisikilize maneno ya waja humu ndani, mwanamke ameagizwa amuheshimu mume wake na mume ampende mkewe in return, kama hakuheshimu tafadhali ACHANA NAE na wala usirudi nyuma. mwanamke mwenye dharau ni mbaya sana na hafai hata kuwa mchepuko.

Hahahahahah hata kua nchepuko hafai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom