Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Niwangu mkuu![]()
maana wananipenda





Hizo akili zako nimezipenda bure


Niwangu mkuu![]()
maana wananipenda







Hizo akili zako nimezipenda bure![]()
ndo ivo mkuu sasa kujipa shida yanin.Kukupenda tu si justification kuwa ni wako...kapime DNANiwangu mkuu![]()
maana wananipenda
My Ushimen katika ubora wako!!! Unajua vile nakupendaSamweli mdogowangu.....
Kwa sababu kama hii, ilikua lazima mke akuache tu....![]()
![]()
Nimecheka na nyavu mara 8 na bado nataka
Nipende tu bibie, lakini tangu ulipo nimwaga....My Ushimen katika ubora wako!!! Unajua vile nakupenda
nilijikuta naishiwa maneno mdomoni....

Mkuu DNA niupotevu wa pesa usokua namaana .......... Unajua mtoto wako unamjua tu niwako unless uwe mwanamme mzembe .. Mimi wanavyonipenda inatosha tu mkuu . alafu watoto ni vibonge Bonge ,, ukiwaona wakike ni vibonge wanafya wanapendeza ,,ukiona wa kiume wanene ngozi lain,, wanaafya yaaan wakitabasam mpaka unajiona wewe baba yao ...Tukitoka out ni shidaaahhh.Kukupenda tu si justification kuwa ni wako...kapime DNA
Hahahahahahaaaaaa ila mi nakujua bhana uwa unaenda na evidence hauna maneno mengi kama wengineNipende tu bibie, lakini tangu ulipo nimwaga....![]()
![]()
nilijikuta naishiwa maneno mdomoni....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawasawa mkuu....Hahahahahahaaaaaa ila mi nakujua bhana uwa unaenda na evidence hauna maneno mengi kama wengine

Heheheheheheeeeee....okay my UshimenSawasawa mkuu....
Ebu tufuraie hapa jamvini, wakati tunasubiri mwisho na hatma yetu....![]()
![]()
Nipende tu bibie, lakini tangu ulipo nimwaga....![]()
![]()
nilijikuta naishiwa maneno mdomoni....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Ohhooo....

Mkuu DNA niupotevu wa pesa usokua namaana .......... Unajua mtoto wako unamjua tu niwako unless uwe mwanamme mzembe .. Mimi wanavyonipenda inatosha tu mkuu . alafu watoto ni vibonge Bonge ,, ukiwaona wakike ni vibonge wanafya wanapendeza ,,ukiona wa kiume wanene ngozi lain,, wanaafya yaaan wakitabasam mpaka unajiona wewe baba yao ...Tukitoka out ni shidaaahhh.
Weeee mie mke wangu nilimsamehe sababu mimi ndio nilikua chanzo ,, alipogundua ninamichepuko naivyo nikawa simpi haki yake nanyumban kurudi ikawa shida Basi naye akaanguka lkn nakuhakikishia she was a royal sana ,,mpole nahuyu mwanamke kila nikimuangalia mpaka naonaga sana Bahati kua naye.

Kwani uliongea pm au hadharani?Jaman jaman hayo tutayaongea PM ....