Kumbe jamaa hana akili au tuseme hana busara na uvumilivuMbona yako nimadogo ,,Mimi wangu nilimfuma miaka kadhaa ilopita lkn mpaka sasa nipo naye na kanizalia watoto wazuri nawenye afya . sembuse we kutokukuheshimu tu suala ambalo unapaswa umpigishe shule ????? .
Hahaaa. Pole yako mkuuKwa mkurya kama mimi. Hata 4 natimua
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Nipe namba zake nimkanyeNineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Hahaaa. Pole sana mkuu.Kwa mkurya kama mimi. Hata 4 natimua
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Hii inaitwa ukiona ndoa imedumu, kuna mmoja kajifanya bwege! TafakariMbona yako nimadogo ,,Mimi wangu nilimfuma miaka kadhaa ilopita lkn mpaka sasa nipo naye na kanizalia watoto wazuri nawenye afya . sembuse we kutokukuheshimu tu suala ambalo unapaswa umpigishe shule ????? .
mkuu nakupa zawadi ya mche wa sabuni na kukutakia mkono wenye afya njema

Hicho tuu!Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Etii
Sure !!Hii inaitwa ukiona ndoo imedumu, kuna mmoja kajifanya bwege! Tafakari
Jamaa hajajua maana halisi ya ndoa najukumu lake kama mwanamme.Kumbe jamaa hana akili au tuseme hana busara na uvumilivu
Kweli tunaweza sema hivyo mkuu na ndio maana hata hajafafanua vitu asivyosikilizwa wala hiyo asivyoheshimiwa.
Exactly...Kweli tunaweza sema hivyo mkuu na ndio maana hata hajafafanua vitu asivyosikilizwa wala hiyo asivyoheshimiwa.
Watoto wangu mkuuUwe makini huenda hao watoto sio wako ni wa huyo uliyemfumania na mkeo.
Mke akishakuwa malaya huyo sio mke ni bomu la Napam!!
aona umeachwa weweNineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Hahaaaa. Aiseee! Ndio hapo wanapokumbuka shuka kumbe kumeshakucha.Shida nipale unapoachana na mwanamke alafu kumbe moyoni unampenda sana ,aiseee hata ukipata mwingine unaweza hata usisimamishe uume.
Nakusalimia pia mkuu